mgando kutoka ukeni

Haina madhara yoyote kwa mwanaume kwa upande wa dushelele. na hakuna kinachoingia ndani ya dushelele kwa nafasi ipi kwanza mpaka iingie...ila haileti picha nzuri (kinyaa) kitu kimeingia safi kinatoka chafu...

Ok asantee kwa ufafanuzi.
 
Huko unakoita 'kusafisha vizuri' si ajabu ndo kulimponza.mmetufanya desperate hadi tunataka kujisiliba cement ili kuongeza soko!
Wanaume wabaya sana,lol
pole kaka mshauri shemeji pia awe anakufanyia usafi huko kwa bibi mara kwa mara asitumie sabuni detol ya maji ni nzuri zaidi na maji ya uvugu vugu kwa pia muulize alishawahi kutumia shabu ?
 
ok inatakiwa dose gani wakuu?maana hospital siku hizi ni biashara kumuona doctor elfu 10 kufungua file elf 5 so nikimaliza humu humu itakuwa mzuka maana hiyo elfu 15 itafaa kununua full dose
nenda hospital. sababu ni nyingi za utoko. labda hata haumwi bali hajisafishi vizuri. vipimo ni bora kabla ya dawa. unabania elfu 15000 na unalipia i-net. sikuoni kama mtu wa kushindwa lipa hela hiyo kwa afya yako na mkeo.
 
"majimaji meupe toka ukeni, yasiyo na harufu nzuri".

As an International Consultant, that costs you $ 750.

Ndugu Allien hizo ni ghalama za matibabu ya hapa hapa Bongo au ni kule wanakoenda wakubwa yaani India
 
thanx a lot wadau kwa ushauri ngoja jioni ntampeleka hapo pharmacy akachukue dose.ila dushelele linawasha kimtindo yeye hawashwi ila yanatoka mayonize
 
Pole na hongera kwa kumjali mwenzio,
Ila pamoja na kumwona Dr.awe anasafisha mashine mara kwa mara anaweza pia kutumia maji ya kawaida kamulia ndimu ajisafishe harufu itapotea na patakua na mnato wenye mvuto.:lol:
 
Pole na hongera kwa kumjali mwenzio,
Ila pamoja na kumwona Dr.awe anasafisha mashine mara kwa mara anaweza pia kutumia maji ya kawaida kamulia ndimu ajisafishe harufu itapotea na patakua na mnato wenye mvuto.:lol:

acha ushauri huo,una madhara makubwa kuweka ndimu ukeni
 
King Kong III said:
Neno lako mara ya mwisho nilisikia kama miaka 18 iliyopita!​


  • Wanaume wanatokwa na utoko wakiwa bado wana magovi. Pengine kutahiriwa kwako mapema ndio sababu ya kutokulisikia neno hili kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom