Recent content by bigzii

  1. B

    Reporter wa itv-mara

    Kwa muda mrefu sasa nimekua nikishangaa huyu reporter wa ITV mkoani Mara akiripoti habari za mkuu wa mkoa tu kana kwamba ni msemaji wa huyu mheshimiwa. Niliposhangaa sana nikajishangaa, kwanini nashangaa wakati hata mabosi wake wa hapo mikocheni wameona ni sawa tu! Kama na leo Hili litajirudia...
  2. B

    Benki ipi nzuri ya kukopa

    Wadau ni vyema unaposema bank fulani ni nzuri basi uweke wazi na riba yake ili ueleweke vizuri. Mimi nina experience na ACB. Riba yake ni 11% kwa mkopo wa miezi 6. Kwa mwaka ni 22% ila huwa kuna vigharama vingine ambavyo ukijulimsha vizuri unakuta inafika 25%. Mtu anayekushauri usikope ujue sio...
  3. B

    Wapi naweza kutengeneza mifuko yenye jina la biashara yangu?

    Heshima kwenu wana jamvi, Nahitaji kutengeneza mifuko yenye jina la biashara yangu kwa ajili ya kuwekea bidhaa za wateja wanaponunua vitu dukani kwangu. Naomba mnisaidie mawasiliano au sehemu ambayo naweza kupata huduma hii. Natanguliza shukrani.
  4. B

    Walimu karibu wote uwezo mdogo

    Wakati wa kawambwa nazani ilikua ni lazima uwe na div 1 maana ufaulu uliongezeka saaaaana.
  5. B

    Angalizo: Daraja la Buguruni zimewekwa chini nondo za MM12

    Bila shaka wewe ni diwani. Tafuta mhandisi wa mihimili akushauri namna ya kuandika vizuri ili wahandisi wakuelewe na wachangie kitu kinachoeleweka.
  6. B

    Watangazaji wa Star Tv mnaboa

    Yaani utazani tulikua wote. Hawa jamaa suti zao ni majanga na kikazi Hamna talents kabisaaaaaaa. Hata hivyo nawaheshimu maana kuna watazamaji huwa wanaangalia futuhi, hapo ndo ninapojua kwamba binadamu tunatoutiana saaaaana.
  7. B

    Bentley la Joseph Kusaga kupigwa mnada

    Huyo mwenye fun cargo eti naye kashindwa kuitoa bandarini!
  8. B

    Kuuliza si ujinga

    Kuuliza ni ujinga, ila kutouliza ndio ujinga zaidi.
  9. B

    Ujenzi wa Ghorofa Moja

    Inawezekana mkuu umeshamaliza hii project ile kwa faida ya wengine pia, options alizotaja mtoa mada zinakubalika isipokua tu ni lazima utambue kuna Fundi sio msemaji wa mwisho. Kama una architectural drawings tayari ni lazima upate na engineering drawings.
  10. B

    Msaada kuhusu ukadiriaji wa kodi ya mapato

    Nashukuru sana mkuu. Ubarikiwe.
  11. B

    Msaada kuhusu ukadiriaji wa kodi ya mapato

    Heshima kwenu wakuu, Kwanza ningependa kukiri kwamba Mimi ni Mgeni sana humu jamiiforum lakini nawaheshimu sana wadau na naamini nitapata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenu. Mimi ni mfanyabiashara Mdogo na nina frame ya biashara katika moja ya miji ya tz. Wakati naanza biashara nilifata...
  12. B

    CCTV Camera yanasa tukio la kutisha la Ujambazi Salasala

    Nimejaribu kuangalia vizuri na nimeona baada ya majambazi kufyatua risasi na kuondoka na bag, Mtu aliyekua ndani ya geti alinyanyuka na wa nje pia alinyanyuka. Nashindwa kuelewa huyo aliyeuawa ni yupi?
  13. B

    Namtafuta Godfrey Mliondoko, ni Mpare wa Kilimanjaro

    Jamani Godfrey akipatikana tunaomba mtujuze.
Back
Top Bottom