Siyo kwamba wafanyabiashara hawapendi kulipa kodi au wanunuzi hawapendi kudai risiti, kinachonyong’onyesha watu nikuona kodi zenyewe zinatumiwa vibaya na wachache walio kwenye mfumo.
Ripoti za CAG kila mwaka ni ubadhirifu wa Hela!! Ukienda kwa hao wakusanya kodi wenyewe ndio balaa!
Vijana...
Ili network ya Zambia isome ukiwa tunduma ni lazima uwe Karibu kabisa na gate la kuingilia Kama unaenda Zambia, hivyohivyo hata kwa Kigoma mtandao wa Burundi utasoma Kama upo Manyovu ila sio Kigoma mjini anayoielezea Mtoa mada. Kigoma mjini ni mbali sana kutoka mpakani.
Dar kila mtu amejipa ajira mwenyewe. Kuna kikundi kinajiita wakala wa TRA wanatembea na Afisa wa TRA wakikamata gari ya biashara au lori Lina deni la TRA wanalazimisha ukalipie yard kwao ili wakuchaji na hela ya hao mawakala. Hata ukisema jamani Hela ninayo naomba control number nilipe...
Ukiacha TRA na polisi nadhani TBS inashika nafasi ya tatu katika upokeaji rushwa. Vijana wadogo hawana hata muda mrefu kazini lakini wana ukwasi wa kuogopesha! Nchi imekuwa na bidhaa fake nyingi mno kuanzia mavazi, electronics, vipuli, vipodozi na bidhaa nyingine nyingi. Mwananchi ananunua...
Mambo sikuizi ni digital sio mpaka uache kazi zako uende mpaka kituo cha polisi kutoa taarifa ya uhalifu au utapeli, kupitia mtandao una uwezo wa kutoa taarifa polisi na polisi wakafanyia kazi Kama tu ulaya wanavyofanya.JESHI LA POLISI TANZANIA Lina akaunt Instagram Kama nilivyosema hapo juu...
Habari wana JF
Kwa mujibu wa sheria utapeli mtandaoni ni miongoni mwa makosa ya jinai yanayodhughulikiwa na JESHI LA POLISI TANZANIA kupitia kitengo cha uchunguzi wa makosa ya mtandaoni.
Kwasasa kumekuwa na akaunt nyingi mtandaoni za kitapeli hasa Instagram na Facebook zikijitangaza zinatoa...
Haya ndio mambo hatuyataki! Mwanamke ukishamuona uchi wake Halafu unamwambia uchi wake mzuri tayari mwanamke huyu hana tena ujanja. Daktari wa kiume kumchezea mwanamke utupu wake hii pia ni ukatili.
Acha kutetea upumbavu wewe hata kama ni fani yako, unajiskiaje sasa baada ya kushika shika uchi wa Shemeji yako? Mwanamke ukishachezea tu uchi wake basi ushammaliza hana tena neno kwako anajawa na aibu hata ukitaka kumgegeda unamgegeda. Sasa Sijui unaangaliana vipi na Shemeji yako baada ya...
Hivi unajiskiaje mwanaume mwenzako kuchezea Maumbile ya mke wako ? kisa ni mjauzito/mgonjwa basi maumbile yake hayana thamani yanaweza shikwa shikwa tu na mwanaume yeyote? Wanawake wetu wanakubali tu hawana namna ila huwa wanaona aibu ni basi. Mbona Arabuni hakuna huu utamaduni na imewezekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.