Hospitali gani Dar ya kujifungulia unahudumiwa na daktari wa kike?

halafu, si ukute sisi wanaume ndio tunashadadia sana kuficha uchi wakati wanawake wanajifungua au wanatibiwa, wao wanawake hata hawaoni shida kabisa. kwa wale wenyeji na labour hospitals, siku ukichungulia kwa bahati mbaya uone mikao waliyokaa kule, hata chupi haina faida kwao na wanaona inawatinga kutokana na uchungu, afu mjaa wivu mmoja aje leo awaambie waufiche kwa daktari? akili au matope hayo.
Labour watu wanaingia na hijab(stara)
Vitu vikichanganya wanatembea uchi
Kikubwa amuombee mkewe ajifungue salama
 
Bado narudi pale pale huijui medicine na misingi yake, tangu lini medicine ikaharibu maadili ya jamii? Ulisikia wapi? Uliona wapi? Hebu wanajamii nambieni wapi mlishawahi halibiwa uhuru au amani yako sababu tu kuhudhulia kliniki au hospitali?
Nimefanya tafiti ktk hilo.

Msichana, mke akimvulia nguo akamtanulia miguu dr wa kiume....

Wengi ktk wanawake uadilifu kuondoka, wengi ktk wanawake wanaondoa ubinadamu wao, hupoteza heshima zao, huwa haogopi tena kumvulia nguo mwanamme mwengine.
 
Habari wana JF
Mke wangu anatarajia kujifungua siku za usoni, ni hospitali gani nimpeleke Dar es Salaam ili aweze kuzalishwa na mwanamke Mwenzake?

Msaada tafadhali.
Hospital zote zina manurse wanawake na wanaume inategemea siku hiyo atamkuta nani yuko zamu.....ndio atakuwa halali yake
 
Kuna watu wa fani ya medicine,siyo waadilifu,imewahi kutokea kwenye hospitali ya Magunga,Korogwe,mume kamsindikiza mkewe hospitalini,mke alivyoingia ndani kwa daktari,mume akabaki nje anamsibiria,sijui machale yalimcheza,akaenda kuchungulia dirishani,akakuta mkewe analiwa na daktari.Kuwepo maadili siyo shida,shida ni ufuataji wa hayo maadili.
 
Nilikuwa na mpenzi wangu akaenda hospitalini wakati wa ujauzito. Dr aliyempima alikuwa mwanaume. Alipokuwa anampima akamwambia ''da wewe dada una uchi mzuri''. Anyways, kwenye mambo ya uzazi wapo ma dr wanaume wengi tu ambao wanasifiwa na wamezalisha wanawake wengi sana kwa upasuaji. Mara nyingi dr kumwa-approach mwanamke inategemea na mwanamke mwenyewe alivyo.

Haya ndio mambo hatuyataki! Mwanamke ukishamuona uchi wake Halafu unamwambia uchi wake mzuri tayari mwanamke huyu hana tena ujanja. Daktari wa kiume kumchezea mwanamke utupu wake hii pia ni ukatili.
 
Nikisema tu nataka daktari wa kike ndiyo inakuwa hiyo milioni 6
Au hiyo ndiyo gharama ya kawaida ya kuzalisha hapo aga kan
Hiyo ndio gharama zao, Madaktar unachagua mwenyewe, karibia woote ni wa kike,my two children walizaliwa hapo,wapo vizuri sana huta regret ila bei ndio hivo. Unaweza watafuta namba zao zipo online ukawapigia na kaongea nao...ila hiyo ya Ilala yaweza kuwa nafuu sasa huduma zao sijui wapoje??
 
Nikisema tu nataka daktari wa kike ndiyo inakuwa hiyo milioni 6
Au hiyo ndiyo gharama ya kawaida ya kuzalisha hapo aga kan
Pia i
Nikisema tu nataka daktari wa kike ndiyo inakuwa hiyo milioni 6
Au hiyo ndiyo gharama ya kawaida ya kuzalisha hapo aga kan
Hiyo milio 6 ilikuwa operation inaweza kuwa chini ya hapo tafuta namba zao wapigie wanaongea kiswahili sio kihindi
 
Sawa. Mi Naheshimu taaluma yako.
Na lazima niseme iwapo idadi kubwa wa vijana wa kiume wanakimbilia fani ya kutibu magonjwa ya like na ya uzazi, huku wadada zetu wanakimbilia fani za magonjwa ya wanaume..... tuelewe jamii yetu iko ktk Janga. Haiyamkini uko huru kutoa taarifa kuwa unatibu wake zetu. How about mama zetu. Unaweza kusimama na kujisikia. Hapana. Mungu hajapanga hilo. Huu ni mpango wa mwanadamu.

Tunahitaji sera kabisa itayohamadisha wanaume wajinga ktk fani zao na wanawake wajinga ktk fani za kuisaidia wanawake wenzao.

Hilo tutakuja kuona dunia ni sehemu salama, na familia zenye maadili
Nenda muhimbili wakupe data za wanafunzi wa kiume na wa kike afu utatoa ushauri wee wafanyaje kuongeza idadi ya wanawake kwenye fani ili wakidhi mahitaji
 
halafu, si ukute sisi wanaume ndio tunashadadia sana kuficha uchi wakati wanawake wanajifungua au wanatibiwa, wao wanawake hata hawaoni shida kabisa. kwa wale wenyeji na labour hospitals, siku ukichungulia kwa bahati mbaya uone mikao waliyokaa kule, hata chupi haina faida kwao na wanaona inawatinga kutokana na uchungu, afu mjaa wivu mmoja aje leo awaambie waufiche kwa daktari? akili au matope hayo.
🤣🤣🤣🤣🤣 Akiingia dk wa kiume unamuona km Dada yako tu
 
Habari wana JF
Mke wangu anatarajia kujifungua siku za usoni, ni hospitali gani nimpeleke Dar es Salaam ili aweze kuzalishwa na mwanamke Mwenzake?

Msaada tafadhali.
Daktari wa kiume,Mungu awabariki sàana TU.very shapu,wanatoa huduma nzuurri sàana.My wifi bila dokta wa kiume angekufa
 
Kuna mmoja alishawahi niambia kitu kuwa kuna wale akina mama huwa hawawezi jifungua vizuri sababu ya kushindwa kusukuma mtoto sababu huwa wanaingiliwa kinyume na maumbile.na waume zao.hivyo.ujifunguaji wao .hufichua siri kwani hutakiwa wajazwe mipamba nk kwenye kinyeo kumpa kick ili asukume mtoto asiishie kujamba jamba tu.na kujinyea na kukosa upepo wa kusukuma mtoto.atoke nk

Wanaume wengine kuficha siri huwa hawataki mkunga mwanaume au daktari mwanaume
Very true.kuna mwanamke mmoja aliingizwa khanga.khanga inasokotwa Kama mipira ya bomba.anaingizwa kwenye mkundu.Mbaya zaidi mama mzazi wa bwana alikuwepo
 
Nenda Aga Khan kikubwa maokoto unachagua daktari unaye mtaka wewe, na hata ukitaka chumba cha peke yako vipo kibao, kikubwa maokoto ka 10M kasikose
Duh wengine tulijifungulia government bure kabisa,bila complication zozote,m10 yote hiyo ,duh,anyways km hela ipo no p
 
Habari wana JF
Mke wangu anatarajia kujifungua siku za usoni, ni hospitali gani nimpeleke Dar es Salaam ili aweze kuzalishwa na mwanamke Mwenzake?

Msaada tafadhali.
Mkuu nikuhakikishie tu, mkeo uchungu utakapomshika hata akili ya kuchagua jinsia ya kumzalisha haitakuwepo, hilo liweke akilin. Achana na tendo la kuzaa, ni balaa. Akili huwaga hazipo, mama na heshima zake zote lakin kweny labor anakiwa sio yeye tena.

Kuhusu kushikwa, kwani haendi klinik, huko huwa anashikwa na mtaalam wa afya wa kike pekee??

Nikushauri, kamwe usiende hospital na hiyo altitude, wataalam wa afya wa kiume watamuacha mkeo kwa wataalam wanawake, na nikung'ate sikio sasa, wataalam wa afya wa kiume ndo mahiri na wa kuaminika zaid kuliko wa kike.

Nikuambie na kingine, ikitokea umesema wazi mkeo asishikwe na mtaalam wa kiume, hata hao wataalam wa kike wakizidiwa na kuwaita wanaume hawatoenda. Waza mara 2 mkuu. Kila la kheri, shemeji ajifungue salama.
 
Back
Top Bottom