Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 214
- 703
Mbona mtaani kuna boda anamkaza na husemiHivi unajiskiaje mwanaume mwenzako kuchezea Maumbile ya mke wako ? kisa ni mjauzito/mgonjwa basi maumbile yake hayana thamani yanaweza shikwa shikwa tu na mwanaume yeyote? Wanawake wetu wanakubali tu hawana namna ila huwa wanaona aibu ni basi. Mbona Arabuni hakuna huu utamaduni na imewezekana? Inamana huku kwetu wanawake wameshindwa kabisa kusomea masomo ya udaktari ili waweze kuwahudumia wanawake wenzao? Maumbile ya mwanamke sio ya kuonwa onwa na kila mwanaume?