Ni ukoloni flan hv.
Ndo sabb sku hz wababa wanawala mabinti zao wenyew.
Kama mama yao anakuita baba unaitika na badae unamsalome..
Unantekenyaga ukinyonga.....
Na binti yako itakuaje ngum sasa..[emoji31]
Ni jambo la kawaida.
Nyumban kwetu kuna kuku wa kienyeji hutaga mayai 10 had 12 na kat ya hayo yenye mapacha huwa 3 had 4.
Kizaz chake kimekuwako tangu niko mdgo had sasa
Si kweli kabisa kwamba kuhamia dodoma kutaiacha dar kama bagamoyo ya zaman iliyoachwa na wakoloni.
Dar bado ni central bussines zone ya taifa.
Kuhamia dodoma ni jukum letu na kuijenga dar pia ni jukum letu.
Taifa haliwez kuenda kama familia kwa kushika moja kwa wakat.
Tupo watu 50+ kwa sasa na...
Katika maisha ni vyema kutafta taarifa kamili kabla hujasema.
Yani soma uelewe
Sikiliza uelewe na sio kusoma au kusikiliza ili kujibu.
Hapana sabb ya kutoa povu mkuu.
In short ni hvi.....
Salama water front ipo pale pale sema kilichobadilika ni design.
Na ishu ya salenda hakuna mtu asiejua...
Kinachonikera zaid ni kelele.
Yani mtu anaanzisha kanisa nyuma ya nyumba yako wapo watu 15 had 30 humo ndan lakin maspika makubwa kuliko ya fiesta singida 2016.
Hatulali kisa kelele
Wakichoka ndan wanatoka nje
Kelele mwanzo mwsho
Wanachohubir wao ni mistar michache ambayo mwsho wake ni kupiga...
Hii kitu its all about timing and target.
Mfano
Mwaka huu hasa mwez huu n muda mzur sana wa kulima nyanya na matikit sabb wakulima wengi hawatarud shamba kwa kukosa mtaji au kukata tamaa na watashift kwenye mahind na maharagwe ambayo saiv sikon n machache.
Wakirud hapa watalia the same.
Wew...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.