Kwani alipomtaja alimtaja kama mwenyekiti wa yanga au Manji km Manji?...anajaribu kutafuta followers tu hatakiwi kuihusisha club na mambo take binafsi kazingua
Wakat serikal inahis inamkomoa lissu kwa kumkamata kumbe inawezekana kabisa Tundu alifanya alichofanya kwa makusudi ili akamatwe halafu kupitia kesi yake alipue anachotaka kulipua...huyu jamaa ana akili nyingi hadi anaudhi.
Huyu mtoto anapewa kiki za kiboya wakat Kazi zake hazisikiki mtaani uboya huo..matokeo yake jina kubwaaa ukija kuskia ngoma mimavi mitupu nyie mizukule kama ww mtoa post tafuteni nyimbo sake zitupieni humu tuskie siyo habar za Leo kavaa singlend Mara kesho kanyoa kiduku I don't think if we have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.