Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,426
Alikufa mkuu kipindi anakufa nilikuwa nairobiMawala kwani kafa ? Yale yaliyofanyika Nairobi sio maigizo kweli ? Anaweza akawa zake USA huko
Alikufa mkuu kipindi anakufa nilikuwa nairobiMawala kwani kafa ? Yale yaliyofanyika Nairobi sio maigizo kweli ? Anaweza akawa zake USA huko
Bora umesema mkuu maana watu kazi kusoma picha tuMbona hiyo ni ile Helicopter ya Sea Cliff
Na hapo ni kwenye zile parking za Sea cliff
Mhhh mkuu mimi huo naona kama mchezo wa kuigizaAlikufa mkuu kipindi anakufa nilikuwa nairobi
naona umeliamsha from 2015.Pumzika kwa aman, kijana mambo huku bado tait....
money cant happy everythingHalafu alivyo kama mgonjwa vile, mwil hauna afya wakat pesa zipo dah
Bilionea JanjaroArusha kila mtu bilionea!
kwaheri bilioneaIla alikua bado mdogo sana..huyu kweli angeweza kuja kua billionea...maake at the age of 21 anamiliki kindege chake.
Habari wana JF,
Mfanyabiashara wa madini,Jimmy Mcmele,21 amefariki dunia kwa ajali ya gari maeneo ya tegeta dsm akiwa na Benz lake.
View attachment 261785
Jimmy Akiwa Kwenye Helkopta yake.
View attachment 261786
AKiwa Na pesa za kutumia kwa usiku mmoja weekend
View attachment 261787
Nyumba yake na Benz alilopata ajali.