Haya ndiyo maajabu ya team kiba kwa diamond

nawasubiri kwa hamu


Ngoja nilete jamvi waje kukaa niwaletee na togwa ya kunywa
Siyo Tongwa ni Togwa nashukuru kwa kuandika booooonge la uzi na ww ni team mond ili kujifurahisha nafsi safi sisi tupo tunasubir shit nyingine kutoka kwa king hatubishan na watoto kiba nyimbo 1 tuzo laki tena bila kolabo no presha come down bro na subir sindano.
 
Ukisikiliza ile "fu-ck fu-ck clip" aliyoitoa Chibu kuna sehemu anasema wengi wanaomchukia ni masikini yaani ni broke. Kwa hiyo in conclusion unaweza kusema team Kiba wengi ni masikini
Yaah team kiba ni Maskini..na ukiwa team domo tu hata kama ulikuwa Maskini unajikuta mahela yamejaa ghafla mfukoni...keep it up.
 
Mwenzako mondi anatenbelea ROY ROYCE, gari ya kifahari duniani alafu bado, unataka kumlinganisha na kibakuli
Hivi utajiri unaangalia gari unayotembelea eeeh?..acha unyumbu angalia gari aliyokuwa anatembelea mmiliki wa Facebook.
 
Habari zenu wanajamvi ?
Kwa upande wangu mm ni mzima tu bukheri wa afya ,
Leo nataka tuangalie baadhi ya tabia za ajabu za team kiba kwa diamond

1) Team kiba wengi wanaongoza kwa kum follow diamond insta na huwa wanaongoza kutoa comments nyingi diamond akipost kitu

2)Team kiba wengi ni washabiki wa mdomoni kwa kuwa hata insta hawajam follow kipenzi chao kiba

3)Team kiba wengi wana pay attention kila diamond akitoa wimbo (audio au video )kuliko kiba akitoa video au audio

4)Team kiba wengi wanaongoza kuangalia you tube video za diamond kila zinapotoka wao wanakuwa wa kwanza kuzitafuta halafu cha ajabu zaidi wakimaliza kuangalia wanaziponda

5)Team kiba wanapenda kucheza au kuiga style za diamond za uchezaji kuliko za kiba mwenyewe na ukitaka kuona hili sana sana angalia club nyimbo zikipigwa watu wanacheza kimadoido kama ya diamond hata kama wimbo unaopigwa ni wa kiba

6)Ni rahisi team kiba kukosa show ya kiba kuliko kukosa show ya diamond

Ukitaka kuamini hilo subiri show ya diamond atakayopiga taifa "Diamond are forever". Lazima waende wengi na watatoa shangwe la kutosha lakini wakirudi nyumbani utasikia aaaah wapi diamond hana kitu chochote yule

7)Ikitokea msanii katoa wimbo mkali saana team kiba watamshindanisha huyo mtu na diamond na kusema kuwa huyo msanii kateka soko kwa sasa hamna wa kumfikia

Ukitaka kuamini hilo angalia darasa alipotoa wimbo wake wa mziki
Kwa nini walisema darasa kamfunika diamond na kwa sasa yeye ndiye kateka soko lote,

Hii inamaanisha mambo mawili
1. Mosi inamaana ya kuwa kabla ya hapo aliyekuwa ameliteka soko ni diamond na si kiba hivyo basi ujio wa darasa umempokonya ufalme diamond

2. Pili inamaana kuwa ili kiba alikuwa hafui dafu kwa diamond hivyo basi walikuwa wanatafuta mbadala wake wa kushindana na diamond

8)team kiba wengi hawajui ziara za show mbalimbali anazofanya kiba ,yani kwa lugha nyepesi hawajui kiba kwa sasa yupo wapi na anafanya nini

Lakini sasa waulize ratiba ya diamond watakutajia hata ya miezi mitatu ijayo watakwambia kwa sasa diamond yupo wapi na anatembelea gari gani

Waulize sasa kama wanajua kiba anatembelea gari gani na ananyumba wapi na wapi, hawajui lakin ukiwauliza diamond anakaa wapi haraka sana watakutajia madale

9)team kiba wanawajua mpaka watoto wa diamond lakini waulize wanamjua mtoto hata mmoja wa kiba uone maajabu ,ha ha ha ha

10)team kiba wanaifahamu sana familia ya diamond kuanzia mama yake,baba yake watoto wake,michepuko yake dada zake wa hiari nk geuza swali sasa waulize maswali hayo hayo kuhusu kiba uone maajabu hapo ,utafurahi na roho yako

View attachment 466358

View attachment 466359

Hapa ndipo utagundua wabongo wote ni team mondi ila ili kubalance mzani ndo kuna team kiba ambayo kiuhalisia haipo bali ni ya kufikirika tu


Tchaooooo
Kwa hiyo?wewe inakusaidia kitu gani?fanya mambo yako achana na vitu ambavyo havikuongezei kitu?kwani hizi team zinalipwa posho au mshahara kila mwisho wa mwezi?kama jibu ni ndiyo endelea na kama jibu lako ni hapana fuata mambo yako mkuu!stop wasting your precious time with "umbeya"
 
Habari zenu wanajamvi ?
Kwa upande wangu mm ni mzima tu bukheri wa afya ,
Leo nataka tuangalie baadhi ya tabia za ajabu za team kiba kwa diamond

1) Team kiba wengi wanaongoza kwa kum follow diamond insta na huwa wanaongoza kutoa comments nyingi diamond akipost kitu

2)Team kiba wengi ni washabiki wa mdomoni kwa kuwa hata insta hawajam follow kipenzi chao kiba

3)Team kiba wengi wana pay attention kila diamond akitoa wimbo (audio au video )kuliko kiba akitoa video au audio

4)Team kiba wengi wanaongoza kuangalia you tube video za diamond kila zinapotoka wao wanakuwa wa kwanza kuzitafuta halafu cha ajabu zaidi wakimaliza kuangalia wanaziponda

5)Team kiba wanapenda kucheza au kuiga style za diamond za uchezaji kuliko za kiba mwenyewe na ukitaka kuona hili sana sana angalia club nyimbo zikipigwa watu wanacheza kimadoido kama ya diamond hata kama wimbo unaopigwa ni wa kiba

6)Ni rahisi team kiba kukosa show ya kiba kuliko kukosa show ya diamond

Ukitaka kuamini hilo subiri show ya diamond atakayopiga taifa "Diamond are forever". Lazima waende wengi na watatoa shangwe la kutosha lakini wakirudi nyumbani utasikia aaaah wapi diamond hana kitu chochote yule

7)Ikitokea msanii katoa wimbo mkali saana team kiba watamshindanisha huyo mtu na diamond na kusema kuwa huyo msanii kateka soko kwa sasa hamna wa kumfikia

Ukitaka kuamini hilo angalia darasa alipotoa wimbo wake wa mziki
Kwa nini walisema darasa kamfunika diamond na kwa sasa yeye ndiye kateka soko lote,

Hii inamaanisha mambo mawili
1. Mosi inamaana ya kuwa kabla ya hapo aliyekuwa ameliteka soko ni diamond na si kiba hivyo basi ujio wa darasa umempokonya ufalme diamond

2. Pili inamaana kuwa ili kiba alikuwa hafui dafu kwa diamond hivyo basi walikuwa wanatafuta mbadala wake wa kushindana na diamond

8)team kiba wengi hawajui ziara za show mbalimbali anazofanya kiba ,yani kwa lugha nyepesi hawajui kiba kwa sasa yupo wapi na anafanya nini

Lakini sasa waulize ratiba ya diamond watakutajia hata ya miezi mitatu ijayo watakwambia kwa sasa diamond yupo wapi na anatembelea gari gani

Waulize sasa kama wanajua kiba anatembelea gari gani na ananyumba wapi na wapi, hawajui lakin ukiwauliza diamond anakaa wapi haraka sana watakutajia madale

9)team kiba wanawajua mpaka watoto wa diamond lakini waulize wanamjua mtoto hata mmoja wa kiba uone maajabu ,ha ha ha ha

10)team kiba wanaifahamu sana familia ya diamond kuanzia mama yake,baba yake watoto wake,michepuko yake dada zake wa hiari nk geuza swali sasa waulize maswali hayo hayo kuhusu kiba uone maajabu hapo ,utafurahi na roho yako

View attachment 466358

View attachment 466359

Hapa ndipo utagundua wabongo wote ni team mondi ila ili kubalance mzani ndo kuna team kiba ambayo kiuhalisia haipo bali ni ya kufikirika tu


Tchaooooo
Ni utafiti ambao utashambuliwa kishabiki lakini una ukweli mwingi
 
Habari zenu wanajamvi ?
Kwa upande wangu mm ni mzima tu bukheri wa afya ,
Leo nataka tuangalie baadhi ya tabia za ajabu za team kiba kwa diamond

1) Team kiba wengi wanaongoza kwa kum follow diamond insta na huwa wanaongoza kutoa comments nyingi diamond akipost kitu

2)Team kiba wengi ni washabiki wa mdomoni kwa kuwa hata insta hawajam follow kipenzi chao kiba

3)Team kiba wengi wana pay attention kila diamond akitoa wimbo (audio au video )kuliko kiba akitoa video au audio

4)Team kiba wengi wanaongoza kuangalia you tube video za diamond kila zinapotoka wao wanakuwa wa kwanza kuzitafuta halafu cha ajabu zaidi wakimaliza kuangalia wanaziponda

5)Team kiba wanapenda kucheza au kuiga style za diamond za uchezaji kuliko za kiba mwenyewe na ukitaka kuona hili sana sana angalia club nyimbo zikipigwa watu wanacheza kimadoido kama ya diamond hata kama wimbo unaopigwa ni wa kiba

6)Ni rahisi team kiba kukosa show ya kiba kuliko kukosa show ya diamond

Ukitaka kuamini hilo subiri show ya diamond atakayopiga taifa "Diamond are forever". Lazima waende wengi na watatoa shangwe la kutosha lakini wakirudi nyumbani utasikia aaaah wapi diamond hana kitu chochote yule

7)Ikitokea msanii katoa wimbo mkali saana team kiba watamshindanisha huyo mtu na diamond na kusema kuwa huyo msanii kateka soko kwa sasa hamna wa kumfikia

Ukitaka kuamini hilo angalia darasa alipotoa wimbo wake wa mziki
Kwa nini walisema darasa kamfunika diamond na kwa sasa yeye ndiye kateka soko lote,

Hii inamaanisha mambo mawili
1. Mosi inamaana ya kuwa kabla ya hapo aliyekuwa ameliteka soko ni diamond na si kiba hivyo basi ujio wa darasa umempokonya ufalme diamond

2. Pili inamaana kuwa ili kiba alikuwa hafui dafu kwa diamond hivyo basi walikuwa wanatafuta mbadala wake wa kushindana na diamond

8)team kiba wengi hawajui ziara za show mbalimbali anazofanya kiba ,yani kwa lugha nyepesi hawajui kiba kwa sasa yupo wapi na anafanya nini

Lakini sasa waulize ratiba ya diamond watakutajia hata ya miezi mitatu ijayo watakwambia kwa sasa diamond yupo wapi na anatembelea gari gani

Waulize sasa kama wanajua kiba anatembelea gari gani na ananyumba wapi na wapi, hawajui lakin ukiwauliza diamond anakaa wapi haraka sana watakutajia madale

9)team kiba wanawajua mpaka watoto wa diamond lakini waulize wanamjua mtoto hata mmoja wa kiba uone maajabu ,ha ha ha ha

10)team kiba wanaifahamu sana familia ya diamond kuanzia mama yake,baba yake watoto wake,michepuko yake dada zake wa hiari nk geuza swali sasa waulize maswali hayo hayo kuhusu kiba uone maajabu hapo ,utafurahi na roho yako

View attachment 466358

View attachment 466359

Hapa ndipo utagundua wabongo wote ni team mondi ila ili kubalance mzani ndo kuna team kiba ambayo kiuhalisia haipo bali ni ya kufikirika tu


Tchaooooo
Ngoja raia waje apa..kuna watu watatoka povu balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom