Recent content by Bibi Kizee

  1. B

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

    Ila Yule bwana alikuwa muungwana kwa kweli....Yaani mtu amekuchukulia ex wako, unamlelea mtot na anakuja Hadi kufanya shooting mjengoni kwako ...wala hajawahi hata kupost lugha chafu kuwatusi maskini ...mungu atamlipa hapo kwa huo ubinadam tu.....
  2. B

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

    Mwanamke aliyekuwa anateswa angekuwa vile alivyokuwa Zari....maana dai hata kovu hajakuta....Halafu mwanamme wa kukutesa unarudi kwake na mtoto wa mwanamme mwingune unakaa Hadi unapata nyumba ya kwenda na bado wewe na bwana wako mnamtukana kwenye social media eti nyumba ya kupanga....
  3. B

    JamiiForums Tanzania Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

    Mliishaambiwa ni project bado mnataka kujua nini zaidi.....unadhani hela za GSM zingeingia bila prince ...south madili yaliisha dili ni Tanzania.....naomba mungu tu mwisho wa project asidhulumiwe mtu
  4. B

    JamiiForums Tanzania Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa

    Faru john ‍♀️‍♀️‍♀️
  5. B

    JamiiForums Tanzania Chuo cha UDOM ni majanga

    Wakiachwa UDOM wanatembea uchi....wamezuiwa UDOM wamemnyanyasa...lipi Jema.........dress code lazima iangaliwe sio kukurupuka tu ...wemngine na night dress, wengine nguo za mazoezi....big up UDOM Kama mmeanzisha hilo
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kwani Rais anateua sana kutoka UDSM? Mzumbe na UDOM vipi?

    Hao waliopo vyuo vingine nao wametoka hapo hapo Udsm....kwahiyo Kama chuo bora na wao ni bora....Kama wanakasoro basi watakuwa wametoka nayo hukohuko Udsm.....
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mange achoma moto kadi ya CCM live

    Na uzuri wakati wa kampeni alikuwa bado na mzungu wake wala hakuwa single mother...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mange achoma moto kadi ya CCM live

    Anajua anachokifanya....kuipigia ccm haina maana kusupport kila kitu....huko ndio uzalendo wa kweli sio Mahaba yasiyo na Tija....mange ameisaidia sana ccm kwenye kampeni.. angalia clip zake na harakati alizokuwa akizifanya kiasi cha kuteka social media....Hali ilikuwa mbaya lakini aliwateka...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu: Mikopo tumetoa kwa vigezo. Wanafunzi wengine hutumia mikopo kununulia Tv na pombe

    Kwa speed hii u-Dr na U-Prof. Tuwaachie wauza mitishamba ....
  10. B

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni upi kuhusu tukio la Scorpion wa Buguruni?

    Katika matukio ambayo yamenipa wakati Mgumu kuyaelewa ni hili la kutolewa macho mpaka muda huu bado Nina maswali mengi mno juu ya kuwepo kwa ukweli na uhalisia wa tukio zima. Bwana said ametolewa macho ndani ya mwezi huu lakini anaonekana Kama ni Hali ya mad mrefu...hivi kutolewa macho ni rahisi...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Farewell to Arms: Barua ya Dr. Ramadhani Kitwana Dau kwa wafanyakazi wa NSSF

    Well done Dr Dau....nimeipenda mno, wenye kutokwa na Malibu na watokwe tumewazoea, hakuna haja ya kijificha kwenye ncha ya kijiti, Hata usingeweka hizo verse wangesema tu, nadhani ingekuwa huyo TB JOSHUA ni muislam na hao walioenda ni Akina JK, Dau, etc ingekuwa issue lakini hapo kimyaaa. Na...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mungu anaumba jamani..

    Hata wema si mbaya Naye alistahili kushinda Ila pia si uzuri tu ufahamu na mengineyo yanayochangia kwenye kuwa mshindi
  13. B

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa shule binafsi kutofungua shule zao

    I can see wamiliki NA Wenye hisa wamepaniki ingawa kubwa AU lengo NI kuboresha Shule zetu...and this is one of the strategy.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Supplementary UDOM

    Karibu tule kichwa inaonekana hujui unachozungumza UDOM unadhani ni mteremko uliza uambiwe usipime kina cha Maji kwa mguu! Dharau za namna Hii SI nzuri, zungumza ukiwa na ushahidi wa hayo, mchujo UDOM kama kawaida , utafaulu kwa juhudi zako, Haya ndio yanayofanya vijana wanakuja UDOM na NO...
  15. B

    JamiiForums Tanzania UDOM: Utumiaji wa Smartphone kwenye mitihani unaharibu elimu

    kuongezea...UDOM Katika mambo Ya mitihani hakuna mzaha mwanafunzi anaanza kufeli toka KWENYE course work...mchujo huo nadhani ni UDOM pekee ,wanafunzi ambaye hajapata 40% Ya course work hafanyi mtihani Hata akifanya hautasahihishwa....na inabidi hiyo Kazi alsome upyaaa mwaka unaofuatia. UDOM SR...
Back
Top Bottom