Recent content by biba

  1. B

    Jinsi ya kumkalisha mwenzi wako mwanaume nyumbani (weekend)

    jaman naomba kuwarudsha nyuma maana apa kila neno ni kuusu kumsujudia mwanaume.yaaan ata Mungu tungemubud ivo waaalah wote tungeenda mbingun. kingine inamaana uyu mtu anaitwa mwanamke ni wa dizain gan au ana ka mixer na umalaika maaana hapa cdion kwa yote anayofanya yy anapokea nn zaid ya...
  2. B

    Jinsi ya kumkalisha mwenzi wako mwanaume nyumbani (weekend)

    kwa maelexo hayo hyo nyumba haina kax ingine ni kumuandalia baby tu
  3. B

    Mahusiano yanapaswa kuchukua muda gani hadi kufikia ndoa?

    jaman swala la ndoa ajuaje ni Mungu tuu.ushasema mda wa kuchunguzana iv nan atajiweka waz akat unajua unachunguzwa?? mi nna ushahid wa familia yetu,ndugu wa ukoo alikua akiishi nyumban kwetu,uyu dada aliolewa bila kupima kipind cha urafiki wala uchumba.can u imagin,alikutana na mtu within a...
  4. B

    Uchafu mweupe wakati wa kujamiana

    peace of mind.
  5. B

    Uchafu mweupe wakati wa kujamiana

    sio kila kitu mnakimbilia hosp.jamanii ndo akina nyie mtoto akipiga chafya tu mko kwa doctor.hiyokitu ka ma haina harufuna hawashwi bas ni hali ya kawaida ya mabadiliko ya kike k.. inapojisafisha.sometym inakua na uxitoflan iv kama gundi gundi na hapo mpin ukiingia waaalahi kwa gundi hyo...
  6. B

    Msaada: Nachelewa kufika kileleni

    tumia mda mwingi kujiandaa instead of kukurupuka
  7. B

    Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

    hahahaaaa umenifurahisha kwel kwel. ila mpaka mimba ikatolewe ushaonekana ni makala kala
  8. B

    MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?

    Mimi nahisi niko tofaut na nyie woote,mana kwanza cchagui, cbagui nawashangaa wote uyo kaka na uyo mdada wanaoshiriki ngono ktk hali hiyo.naomba kujua ni ukame,uhaba,ukiwa,au kiu au kakoka magereza!!na ww dada kwa kumpa uko inaonyesha uyo man he cant wait sio. Vp ikitokea kwa mfano umesafir,au...
  9. B

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Jaman ndo kwanza nimejiunga jf.uzi nimeupenda kisawa sawa ila sasa nikitoka online nawezaje kuupata kiurahs niendelee kujifunza??
  10. B

    Tatizo la umeme Arusha imekuwa kero

    haaaa jaman samsun. we ndo ulienda kukaa na watu wa dizain hyo.na haimaanish arusha yote ndo tunamaisha hayo
  11. B

    Kuhusu Korea Kaskazini: Facts zitakazokuacha Mdomo wazi

    eeeh jaman,inamaana hamna wa tz uko!
Back
Top Bottom