jaman naomba kuwarudsha nyuma maana apa kila neno ni kuusu kumsujudia mwanaume.yaaan ata Mungu tungemubud ivo waaalah wote tungeenda mbingun.
kingine inamaana uyu mtu anaitwa mwanamke ni wa dizain gan au ana ka mixer na umalaika maaana hapa cdion kwa yote anayofanya yy anapokea nn zaid ya...
jaman swala la ndoa ajuaje ni Mungu tuu.ushasema mda wa kuchunguzana iv nan atajiweka waz akat unajua unachunguzwa?? mi nna ushahid wa familia yetu,ndugu wa ukoo alikua akiishi nyumban kwetu,uyu dada aliolewa bila kupima kipind cha urafiki wala uchumba.can u imagin,alikutana na mtu within a...
sio kila kitu mnakimbilia hosp.jamanii ndo akina nyie mtoto akipiga chafya tu mko kwa doctor.hiyokitu ka ma haina harufuna hawashwi bas ni hali ya kawaida ya mabadiliko ya kike k.. inapojisafisha.sometym inakua na uxitoflan iv kama gundi gundi na hapo mpin ukiingia waaalahi kwa gundi hyo...
Mimi nahisi niko tofaut na nyie woote,mana kwanza cchagui, cbagui nawashangaa wote uyo kaka na uyo mdada wanaoshiriki ngono ktk hali hiyo.naomba kujua ni ukame,uhaba,ukiwa,au kiu au kakoka magereza!!na ww dada kwa kumpa uko inaonyesha uyo man he cant wait sio. Vp ikitokea kwa mfano umesafir,au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.