Recent content by bhoke mwita maganya

  1. bhoke mwita maganya

    Binti kamwaga ugali, wakuu na mimi nimwage mboga?

    Usichanganye mapenzi na kazi na acha roho mbaya sheria ya ajira inaruhusu mtu kuongezewa muda wa probation mpaka mwaka mzima usimwalibie maisha mwenzio after all majungu kazini ni kawaida pia si lazima atembee na wewe
  2. bhoke mwita maganya

    Mkataba wa kujitolea unadhibitiwa na Sheria?

    probation period ni kipindo cha matazamio ambacho mwajiri humtazama mwajiliwa kama anafaa katika kazi. Kipindi hichi chaweza kuwa mwaka au miezi sita na baada ya hapo ndipo mwajiliwa atapata ajira rasmi kama ataonekana anafaa katika hiyo kazi. Sheria inamwamuru mwajiri kuongeza muda wa probation...
  3. bhoke mwita maganya

    Jaman nahitaji ushauri kwa hili

    Achana naye endelea na maisha yako.
  4. bhoke mwita maganya

    Nimeingizwa majaribuni,shetani anaelekea kunishinda

    Mwambie akupe mil afu ucmkune wala nn
  5. bhoke mwita maganya

    Tumekaa kwenye mahusiano mwaka,lakini hajawahi kunishauri swala la maendeleo

    Jaribu kumweka busy kwa kumchatisha, kumwomba ushauri na n.k atabadilika
  6. bhoke mwita maganya

    Mkasa ulionikuta baada ya kumtongoza msichana wa JF

    Aaaaah. Mapenz kitukingine usiogope
  7. bhoke mwita maganya

    Naombeni ushauri tafadhari

    Pole udanganye moyo utatulia,, kwan si umesema kimapenz anajiweza usirudi nyuma.
  8. bhoke mwita maganya

    Mapenzi utata, naomba umshauri huyu dada

    pole ila unapofanya maamuzi ya ndoa sio mchezo ndoa ni mara moja.c mara mbili kumbuka c kila unachokipenda utakipata thats y hukumpata toka mwanzo heshimu ndoa yako ifanye kitu kitakatifu achana na huyo wazamani.
  9. bhoke mwita maganya

    LEMA Arusha: Njoo na Mkate, Njoo na Maji, Maandamano bila kikomo 20/9/2014

    Anzeni maaandamano ndani kwenu kwa kushindwa kutoa elimu bora. Milo mitatu bora, maradhi bora, na mapenzi bora kwa kutokuendekeza michepuko mwende kila jimbo lenye mbunge wa chadema kuonesha maendeleo mliofanya. Afu mtatushawishi kwani mabadiliko huanza na wewe...
  10. bhoke mwita maganya

    CCM tuandamane kupinga maandamano ya CHADEMA

    CHADEMA wameona bunge la katiba ndo center ya kampeni zao za 2015 wamesahau miaka 50 iliopita walikuwepo na hawakufanya chocho sasa ndo eanajidai wamezaliwa hiv yule kiongoz wao mkuu...... anaumri gani.? Me nawashangaa sana miaka yoooote CCM inang'ara walikuwa wapi? tusiandamane wala nini tukae...
  11. bhoke mwita maganya

    Mwigulu Apata Mwarobaini wa Ajira kwa Vijana

    Kubadili mtazamo wa wanaotafuta ajira. Tuwaandae watoto kupata maarifa na si kuwapeleka shule ili wapate ajira.kutoa elimu ya ujasilia mali. Kutoa mikopo kwa wenye uwezo wa kujiajiri, kuendelea kuboresha miundo mbinu kama anavyofanya muheshmiwa kikwete, kupigia kura CCM 2015 iliikamilishe...
  12. bhoke mwita maganya

    Maajabu ya Supu Ya Pweza

    yakuambiwa ...................................................................................................malizia
  13. bhoke mwita maganya

    madaktari mnasemaje kuhusiana na hili?

    mademu wote wanaipigia miluzi
Back
Top Bottom