X-Pel, kama unayosema ni kweli na sina sababu ya kutokukuamini basi nadhani wewe ni mtu makini na unajielewa. Huyo Bwana alikuwa na wivu usio na msingi ambao katika hali ya kawaida hauvumiliki.
Sasa sikia, unajua kwa nini watu waovu hufanikiwa kutuaffect:
They force us to play their damn game, in their damn stadium, under their damn rules, controlled by their damn referees...sasa wewe wakatae..usiwafanyie uovu..utakuwa kama wao..."Vengeance is mine, Sayeth the Lord"
Asanten sana ...capt meno,bhole mwita maganya,apology lady,badil tabia,wat8,maledhi,cystal field theory,mtama ushi na wotee mlonishauri ...nashukuru sana sasa nafanya yale mambo ya msingi tu!ukimya ni dawa nimeamin..Thanx wana Jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.