Adventure hawana shida sana. Nauli ni 70,000/= kwa mabasi la anasa(luxury) na 60,000/= kwa basi la lawaida. Tatizo la Saratoga ukifika uvinza unafaulishwa(unachomekwa kwenye vihaice). Nauli pia ukiwapiga sound inawezashuka.
"Uamusho ni taasisi ya kidini". "Cuf wanataka kuiongoza zanzibar kwa kushirikiana na uamusho". Ni maneno yaliyosema na mgonjwa jamani. Sijui Mungu atatukwamuua vipi/lini na hawa wagonjwa.
. Ok nashukuru ila nina kichwa cha binadam si cha panzi kama ulivyodai. Kama umenielewa ni kwamba kuvuliwa madaraka kwa Zitto is only kuutaka Urais kupitia CDM na si kingine. Na haya maamuzi ya kukurupuka believe or not yatakigharim chama. Utayakumbuka haya maneno. Maana Kigoma ndo washajifuta...
Tatizo Zitto alionesha nia mapema ya kuwa Rais kupitia Chadema wakati CDM inamtaka mtu wa kaskazini. Sikuwa naamini kuwa CDM ni wabaguzi now nimeamini. CDM kumbe sawa na Ma ccm tu.! Inaniuma kama mtu wa Kigoma mbona juzi Lema umelopoka kuhusu Zitto hawajongea chcochote. "ukiona mtu anaeneza...
Juzi zuzi nilikuwa Kasulu,miongoni mwa watu ambao hawatakiwi Kasulu ni pamoja na Machali,ofisi yake lilibaki jengo tu kwa kuwa ni nyumba ya mtu unless lingechomwa na sina uhakika sana kama anaweza simama mbele ya wananchi wake kimkutano. Briefly hawamtaki kabisaaaaa.! Ko huyu bwana anatapatapa...
Juzi zuzi nilikuwa Kasulu,miongoni mwa watu ambao hawatakiwi Kasulu ni pamoja na Machali,ofisi yake lilibaki jengo tu kwa kuwa ni nyumba ya mtu unless lingechomwa na sins uhakika sana kama anaweza simama mbele ya wananchi wake kimkutano. Briefly hawamtaki kabisaaaaa.! Ko huyu bwana anatapatapa...
Kwa uelewa wangu CCM ni watu tena huyuhuyu Kikwete ndo mwenyekiti wao,kwa kuwa CCM ni watu kumbe hawa watu tena zaidi mwenyekiti wao ndo TATIZO na sio hizi herufi tatu yaani CCM.
. Ndugu acha kuwadanganya watanzania. Mf Kigoma na Tabora hakuna barabara ya lami inayotoka nje ya mkoa na kwa Kigoma hakuna hata tawi la St Augustin achana na chuo kikuu cha serikali. Nitendelea kuyakumbuka maneno ya Mnyika bungeni kuwa "tumefika hapa kwa.............!"
Nipo Kondoa-Dodoma idara sekondari,natafuta mwl wa kubadilishana kituo cha kazi toka wilaya yoyote ya Tabora..! Kwa aliye tayari tuwasiliane(tupia namba yako)..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.