Rais Kikwete ana ubinadam

Rais Kikwete ana ubinadam

baba v,
huu uongo umeanza lini mbona huko nyuma hukuwa hivi siku hizi umekuwaje unakuwa muongo zaidi hata ya lisu unakwenda kupotea kabisa.

simiyu tujibu basi chuo kikuu cha ruvuma alichojenga jk kipo wap?
 
Kikwete ni mtu muungwana sana siku hizi, TATIZO NI CCM
Kwa uelewa wangu CCM ni watu tena huyuhuyu Kikwete ndo mwenyekiti wao,kwa kuwa CCM ni watu kumbe hawa watu tena zaidi mwenyekiti wao ndo TATIZO na sio hizi herufi tatu yaani CCM.
 
nilidhani unafahamu kila kitu kuhusu baba mwenyekiti kumbe mengine huyajui.. Ooh tate nane..

ngoja niende town nkatafute hiko chuo maana huku mtaani hakuna. Kumbe kuna universty hapa ruvuma na mimi sijui
 
Kwa uelewa wangu CCM ni watu tena huyuhuyu Kikwete ndo mwenyekiti wao,kwa kuwa CCM ni watu kumbe hawa watu tena zaidi mwenyekiti wao ndo TATIZO na sio hizi herufi tatu yaani CCM.
Mkuu unakubaliana na ukweli au unapingana na ukweli?
 
there you're... Ni kama lilivyo tabasamu lake... Never be taken with it..

mtu mbaya hujulikana kwa matendo yake kadhalika mwema nae matendo yake humuuza........
Haina haja ya kuweka uzi eti rais ana ubinadam ilihali watu wakifungua library zao wanakuja na data zisizokuwa na hesabu juu ya uovu wa mtu huyo.

Hebu mfikiria tido mhando bado tuu utasema ni mwema??
 
Mkuu kwa mengine yote inaweza kuwa sawa!
Ila kwa hii ya Profesa Rwekaza Mkandara bado sijakuelewa. Inamaana Mkandara kupewa U-Vice Councellor ni unyama?


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Nilichanganya kidogo siyo Mukandala ila Vice Chancellor wa UDSM alikuweko enzi Mkapa lakini akaondolewa mara baada ya JK kuwa Rais tena katika mazingira ya utata!
 
mtu mbaya hujulikana kwa matendo yake kadhalika mwema nae matendo yake humuuza........
Haina haja ya kuweka uzi eti rais ana ubinadam ilihali watu wakifungua library zao wanakuja na data zisizokuwa na hesabu juu ya uovu wa mtu huyo.

Hebu mfikiria tido mhando bado tuu utasema ni mwema??

Wameona dhahiri ni upande gani matendo yake yamemuweka kwa hiyo wanatumia maneno mengi kujaribu kumuweka pengine.... but alas actions speak louder than words...
 
Nasema rais wetu ana ubinadam kwa sababu nimegundua mara nyingi linapokuja suala linalogusa maslahi ya wananchi waliowengi hua yuko tayari kusikiliza hata kama wabunge wa chama chake hawataki.Hivyo nachukua nafasi hii kuwalaani MPs wote wa sisiem.
Angekuwa na ubinadamu asingekuwa reactive. Kwa nini asubiri malalamiko ndio ajitetee? Wala usiwalaumu hao wabunge. Mlaumu jk kwa kuwaendekeza mawaziri na watendaji wake. Nyerer anasema mtu ambaye anaona haya kuitetea katiba hatufai. Aende akaendeshe shamba lake huko...

Angekuwa na na ubinadamu angejua umasikini wa watanzania umetokana na nini
Kifupi yeye ni cast mzuri tu. Namuandalia script. Namsubiri 2016.
 
Kikwete tangu achukue uongozi wa taifa hili tumeshuhudia mengi mazuri ambayo hayakuwahi kuwepo kwenye taifa hili.

Aisee!!! Kama yapi??


Mbona utakua unakashifu viongozi wako waliopita!!
 
Mkuu kama viongozi wa kisiasa wote wangekuwa kama jk taifa hili lingepiga hatua kubwa zaidi ya hapa tulipo,
Jk amekuwa kimbilio la kila mtu na kila kundi kwa kweli mfanowe hakuna,

Kumbe hua una akili japo kidogo! Endelea hivyo hivyo na uache upuuzi wa kushabikia mambo ya kipuuzi!
 
mnatuanda ki psychology kukubali aongeze miaka 2. hatupo tayari, aje kuendelea na ubinadamu huku uraiani na yeye.
 
T2015CCM na Singida chuo kikuu Kipo wilaya/mtaa gani.hospitali kua na hadhi ya rufaa sio kwa jina bali vifaa na wataalam. we kumbe kwa akili za ki ccm hata shule za kata ziki badilshwa majina zikaitwa vyuo vikuu utahesabu kua ni maendeleo.
 
Back
Top Bottom