Moses Machali: CHADEMA kinaweza kuwa chama cha msimu

Moses Machali: CHADEMA kinaweza kuwa chama cha msimu

kama hamkosi usingizi sasa mbona kila kukicha ni CHADEMA tu, hata wabunge wetu wakitoka bungeni, utasikia tu 'leo hawapo'. vipi kuhusu CUF, ADC, NCCR, UPDP, UDP, jahazi asilia, nk.[/QUOTE
Lazima iongelewe cdm kwasababu ya siasa zake chafu na mbaya. Siasa za maandamano na vurugu. Siasa za kutotii mamlaka hucka. Ni siasa ambazo haziendi sawa na utamaduni wa Mtanzania. Cdm imeleta siasa za uasi. Inaelekeza watu kutoitii serikali iliyopo madarakani. Badala ya kueneza sera zake,badala yake kila kukicha ni chama cha kuhubiri maandamano!!! Siasa za cdm ziimeleta zaidi hofu ya usalama wa nchi kutokana na sera zake na uendeshaji na wake. Lazima watu tuwamlike na tuwaangalie kwa jicho la tatu!! Vyama vingine havina siasa chafu km Cdm ndo maana wala hatuwaongelei!!
 
Huyu Machalii si ndo alipigwa na vibaka kule Dom kwa sababu ya upuuzi wake?
 
kwa nini iwe CDM na siyo CCM ???!!! poleni sana wana CCM safari ii ni zamu yenu kuwa wa msimu mpende msipende. Kama TANU na ASP Vilikuwa vyama vya msimu na vikafutika itakuwa CCM. poleni sana najua inauma ila uo ndo ukweli.
 
katumwa huyo kijana yeye mwenyewe kimoyomoyo anaitamani chadema.

Two wrongs do not make perfect! Kwa hiyo na nyinyi mnanachafua maendeleo yalioletwa na chama tawala ili watu wakasirike na mwishoni wachague hata jiwe kutoka chadema kama Sugu,Lema Nasari ni macriminal hao!

Hakyamama yako wewe umevurugwa, hivi ni maendeleo yapi unayojivunia chini ya MACCM??, inawezekana wewe kama siyo kipofu na kiziwi basi ulishawahi kunafaika na yafuatayo:...
1.Pesa za EPA k.v. KAGODA, Meremeta, Richmond, IPTL,
2.Mabilioni ya Uswisi
3.Chenji ya rada
4.Ndege ya raisi
5.T- Shirt na Kanga za MACCM wakati wa uchaguzi
6.Ruzuku ya Magamba
7.Mradi wa gesi ya Mtwara kwa ajili ya fidia ya Ritz
8.Biashara ya kuuza unga inayoratibiwa na vigogo na wabunge wa magamba
9.Aidha wewe ni mbunge kundi la vitu maalamu kwa watu maalumu.
10.Aidha wewe au baba yako alikuwa mkimbizaji wa tochi ya uhuru a.k.a Mwenge wa uhuru.

Ukweli lazima uwaingie na kuwauma,

Naomba kuwasilisha Mh. Mwenyekiti.
 
Amesema hayo akihojiwa na Star tv, amedai kuwa endapo hakitabadili muundo wa siasa zake, na kujaribu kuingia akilini kwa wananchi wengi kuwa ni chama bora na chenye hekima, basi kinaweza kukosa hata wawakilishi wakutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani,kama ilivyokuwa huko nyuma kwa NCCR na CUF.

My take:
Siasa za maandamano na shari ndio zitakazowatisha wananchi, hasa wakizingatia maandamano hayo Kule Kilimanjaro huwa hayafanyiki!

Labda wananchi wa mkua wa lumumba aka buku7 project ndio wataogopa
 
we dogo chadema kwa sasa hata mtoto mdogo anakijua njoo huku kijijini kwetu uone
 
Amesema hayo akihojiwa na Star tv, amedai kuwa endapo hakitabadili muundo wa siasa zake, na kujaribu kuingia akilini kwa wananchi wengi kuwa ni chama bora na chenye hekima, basi kinaweza kukosa hata wawakilishi wakutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani,kama ilivyokuwa huko nyuma kwa NCCR na CUF.

My take:
Siasa za maandamano na shari ndio zitakazowatisha wananchi, hasa wakizingatia maandamano hayo Kule Kilimanjaro huwa hayafanyiki!

All eyes on Chadema! Siku zote adui hawezi kukuombea mema, atakuombea mabaya lakini hayo mabaya yatajitokeza kwake, Chadema haijawahi kupitia siasa za kama NCCR, wala CUF na haitazipitia

Hii inatokana na uongozi shirikishi unaojali maslahi ya umma, na ndio maana kuna vyama 18, na uchaguzi mkuu wa mwisho tumefanya 2009 na unaofuata kikatiba unatakiwa ufanyike 2014, lakini wapinzani kadhaa wanaulizia uchaguzi aa chadema lini japokuwa hata ukiwa leo hawawezi kugombea ila wanachotaka ni kuona Chadema inapata viongozi mamluki na kuvuruga ustawi uliopo

Tunawapenda maadui zetu na wote wenye fikra hasi juu yetu, wao ndio chanzo cha ustawi wetu, kwani wanatufanya tuwe Makini zaidi na tujenge chama chetu

Peapleees

Joash Mussa,
Chadema Member.
 
kama hamkosi usingizi sasa mbona kila kukicha ni CHADEMA tu, hata wabunge wetu wakitoka bungeni, utasikia tu 'leo hawapo'. vipi kuhusu CUF, ADC, NCCR, UPDP, UDP, jahazi asilia, nk.[/QUOTE
Lazima iongelewe cdm kwasababu ya siasa zake chafu na mbaya. Siasa za maandamano na vurugu. Siasa za kutotii mamlaka hucka. Ni siasa ambazo haziendi sawa na utamaduni wa Mtanzania. Cdm imeleta siasa za uasi. Inaelekeza watu kutoitii serikali iliyopo madarakani. Badala ya kueneza sera zake,badala yake kila kukicha ni chama cha kuhubiri maandamano!!! Siasa za cdm ziimeleta zaidi hofu ya usalama wa nchi kutokana na sera zake na uendeshaji na wake. Lazima watu tuwamlike na tuwaangalie kwa jicho la tatu!! Vyama vingine havina siasa chafu km Cdm ndo maana wala hatuwaongelei!!

Kaka unaangalia siasa za chadema chafu, umejiangalia wewe na kujua hata maana ya jina lako?

Jina lako ni chafu, nenda kabatizwe upewe jina jipya ndio huje hapa
 
Juzi zuzi nilikuwa Kasulu,miongoni mwa watu ambao hawatakiwi Kasulu ni pamoja na Machali,ofisi yake lilibaki jengo tu kwa kuwa ni nyumba ya mtu unless lingechomwa na sins uhakika sana kama anaweza simama mbele ya wananchi wake kimkutano. Briefly hawamtaki kabisaaaaa.! Ko huyu bwana anatapatapa tu hana jipya. Labda anazungumzia msim ndani ya somo la kiswahili siunajua tena huyu ni mwalim anajipanga akafundishe Mwilanvya sec. Harafu kwa nini aongelee CHADEMA wakati si chama chake...?
 
Juzi zuzi nilikuwa Kasulu,miongoni mwa watu ambao hawatakiwi Kasulu ni pamoja na Machali,ofisi yake lilibaki jengo tu kwa kuwa ni nyumba ya mtu unless lingechomwa na sina uhakika sana kama anaweza simama mbele ya wananchi wake kimkutano. Briefly hawamtaki kabisaaaaa.! Ko huyu bwana anatapatapa tu hana jipya. Labda anazungumzia msim ndani ya somo la kiswahili siunajua tena huyu ni mwalim anajipanga akafundishe Mwilanvya sec. Harafu kwa nini aongelee CHADEMA wakati si chama chake...?
 
Back
Top Bottom