Rais Kikwete ana ubinadam

Rais Kikwete ana ubinadam

chuo kikuu kila mkoa, hospitali ya rufaa kila mkoa
chuo kikuu kila mkoa? Mbna ruvuma hatuna? Hatuna hosptali ya rufaa,barabara toka masasi had namtmbo ni vumbi sasa hvyo vtu kajenga wapi?
Uwongo mwngne wa asubuh!
 
Mkuu kama viongozi wa kisiasa wote wangekuwa kama jk taifa hili lingepiga hatua kubwa zaidi ya hapa tulipo,
Jk amekuwa kimbilio la kila mtu na kila kundi kwa kweli mfanowe hakuna,

Magamba at work!.....yametuwahi asubuhi na mapema coz tunamalizia usingizi wa rikizo ya Nyerere day,tumeamka sasa...... eti mnasema KIKWETE kafanyeje?tarudi baadae kidogo
 
chuo kikuu kila mkoa? Mbna ruvuma hatuna? Hatuna hosptali ya rufaa,barabara toka masasi had namtmbo ni vumbi sasa hvyo vtu kajenga wapi?
Uwongo mwngne wa asubuh!

We jomba huwajui ccm wewe.. wana akili za kipekee sana. Hapa mmoja wao anaweza akaibuka na hoja kuwa Somalia ni mkoa wa Tanzania na wakaanza kusaidiana kuteteana. Hapo watakukonvisi tu kuwa Ruvuma kuna Chuo kikuu tena cha serikali hata kama wewe hujakiona. we subiri..
 
Magamba at work!.....yametuwahi asubuhi na mapema coz tunamalizia usingizi wa rikizo ya Nyerere day,tumeamka sasa...... eti mnasema KIKWETE kafanyeje?tarudi baadae kidogo

Oya twende tukapate supu Hekima motel au Appex ndo turudi humu baadae..
 
We jomba huwajui ccm wewe.. wana akili za kipekee sana. Hapa mmoja wao anaweza akaibuka na hoja kuwa Somalia ni mkoa wa Tanzania na wakaanza kusaidiana kuteteana. Hapo watakukonvisi tu kuwa Ruvuma kuna Chuo kikuu tena cha serikali hata kama wewe hujakiona. we subiri..
Baba v,
huu uongo umeanza lini mbona huko nyuma hukuwa hivi siku hizi umekuwaje unakuwa muongo zaidi hata ya Lisu unakwenda kupotea kabisa.
 
Muulize Professor Mukandala yule aliyewahi Vice Chancellor of University of Dar es salaam atakuambia kama JK ana ubinadam au hana.Kabla hujamalizana na Mukandala mtafute yule Mfanyabiashara maarufu mwenye asili ya Kiarabu aitwae Merey Balhabou aliyewahi kuwa mmiliki wa Moro United nini kilimpata,Nasikia pia yule aliyewahi kuwa mwanamuziki maarufu hapa Nchini ambaye kwasasa yeye na familia yake anasota jela ni baadhi ya wahanga wa visasi vya Tate Kulu(Mkulu) na orodha bado ni ndefu.......................
Mkuu kwa mengine yote inaweza kuwa sawa!
Ila kwa hii ya Profesa Rwekaza Mkandara bado sijakuelewa. Inamaana Mkandara kupewa U-Vice Councellor ni unyama?


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kikwete tangu achukue uongozi wa taifa hili tumeshuhudia mengi mazuri ambayo hayakuwahi kuwepo kwenye taifa hili.
 
Hivi yule mmama aliyepelekea hadi mwenyekiti akafungilia mbali familia nzima bado "nkulu" anaendelea nae!??
Kwa vile alikuwa anatoka kwenye ukoo wenu utakuwa na majibu mazuri mkuu.
 
Baba v,
huu uongo umeanza lini mbona huko nyuma hukuwa hivi siku hizi umekuwaje unakuwa muongo zaidi hata ya Lisu unakwenda kupotea kabisa.

Hebu msaidie mdau hapo juu.. Ni chuo kikuu kipi ambacho KIKWETE amejenga mkoani Ruvuma.!? hapo ntaacha uongo
 
Magamba at work!.....yametuwahi asubuhi na mapema coz tunamalizia usingizi wa rikizo ya Nyerere day,tumeamka sasa...... eti mnasema KIKWETE kafanyeje?tarudi baadae kidogo
Hii hoja ya kibavicha,
mkuu huu ndiyo mchango wako ulioupata.
 
Nasema rais wetu ana ubinadam kwa sababu nimegundua mara nyingi linapokuja suala linalogusa maslahi ya wananchi waliowengi hua yuko tayari kusikiliza hata kama wabunge wa chama chake hawataki.Hivyo nachukua nafasi hii kuwalaani MPs wote wa sisiem.

As per heading... ila hana UTU hata chembe.
 
Jamaa kasema JK ana ubinaadamu sana nikakumbuka moja ya incidents za ubinaadamu wa hapa Tanzania.

Lord have mercy.............
sijui nisemeje manake naogopa ila ana ubinadamu wa inkind with inverted comma
 
Amejenga mtandao wa barabara za lami nchi nzima, shule za sekondari kila kata nchi nzima, chuo kikuu kila mkoa, hospitali ya rufaa kila mkoa na sasa anakuletea katiba mpya
. Ndugu acha kuwadanganya watanzania. Mf Kigoma na Tabora hakuna barabara ya lami inayotoka nje ya mkoa na kwa Kigoma hakuna hata tawi la St Augustin achana na chuo kikuu cha serikali. Nitendelea kuyakumbuka maneno ya Mnyika bungeni kuwa "tumefika hapa kwa.............!"
 
Back
Top Bottom