Acha kuwa mtumwa wa fikra,kwa MAANA kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo,Uko katika Giza KITIMA anajaribu kukupa mwanga ili upate kuona wewe unataka uendelee kuishi ndan ya Giza,Je ni Jambo gani la maendeleo likifanyika katika Giza laweza kuwa lenye ufanisi???na bado unaendelea...
Mimi binafsi napenda watu JASIRI Kama kitima,nyakati za kujipendekeza zimepitwa na wakati..hata hivyo madam Pre.. ni mtuhumiwa..asingeweza kuzungumza kitu Cha MAANA mbele watu wenye upeo mkubwa.
Kiungo wa hovyo sana huyu,kila shambulizi.la timu pinzani lilikuwa linaanzia kwake..lakini mashabiki maandazi walikuwa wanapeleka lawama kwa walinzi,,KUMBE SOURCE YA TATIZO mara nyingi ilikuwa inaanzia kwa NGOMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.