Recent content by Bhakusyobhile

  1. Bhakusyobhile

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Acha kuwa mtumwa wa fikra,kwa MAANA kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo,Uko katika Giza KITIMA anajaribu kukupa mwanga ili upate kuona wewe unataka uendelee kuishi ndan ya Giza,Je ni Jambo gani la maendeleo likifanyika katika Giza laweza kuwa lenye ufanisi???na bado unaendelea...
  2. Bhakusyobhile

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Mimi binafsi napenda watu JASIRI Kama kitima,nyakati za kujipendekeza zimepitwa na wakati..hata hivyo madam Pre.. ni mtuhumiwa..asingeweza kuzungumza kitu Cha MAANA mbele watu wenye upeo mkubwa.
  3. Bhakusyobhile

    UFUKARA UKIWA Early 30s SIO Poa, I am not sure if I was destined to live like this!

    MKUU,unayajua sana maisha,THERAPY ya kwanza kabisa ni kukubali makosa yako kisha kuishi kulingana na hali ya kipato ulichonacho
  4. Bhakusyobhile

    Fabrice Ngoma apigwa 'Thank you' na Simba SC

    Kiungo wa hovyo sana huyu,kila shambulizi.la timu pinzani lilikuwa linaanzia kwake..lakini mashabiki maandazi walikuwa wanapeleka lawama kwa walinzi,,KUMBE SOURCE YA TATIZO mara nyingi ilikuwa inaanzia kwa NGOMA
  5. Bhakusyobhile

    Huu hapa mchongo wa kufanya kwa kijana apate hela ya kula

    Huyo ni mvivu,kuna madogo wapo huku age 17-23 wanagonga debe33(ndoo) daily na ndoo ni tsh300,Kila siku wanaondoka na elfu 10
  6. Bhakusyobhile

    Nimehitimu chuo mwaka huu; mtaji wa Tsh. 500,000 naweza kufanya biashara gani?

    Hapa Pana Siri kubwa ila watu hawajui,ukiwa na akili kijijin unatoka kimaisha..laki5 ni pesa ndefu
  7. Bhakusyobhile

    Uzuri wa kiatu hiki uko wap?

    Du!aisee hata kanisani kumbe wapo😳😳
  8. Bhakusyobhile

    Uzuri wa kiatu hiki uko wap?

    😃😀Mimi binafsi nimeshatulia maana hilo BUTI du,,kwa kweli nimelishindwa kwanzia rohoni Hadi machoni
  9. Bhakusyobhile

    Uzuri wa kiatu hiki uko wap?

    Kweli huo ni unyama mwingi😂😂😂
Back
Top Bottom