Inasikitisha na viongozi wa Simba naona wanajitoa ufahamu kwa makusudi kabisa.Ngoma alishapost kuondoka Simba kuanzia 29th june
View attachment 3403236
This is not news
Nashindwa kuelewa kati yake na Simba nani kampa mwenzake thank you
Bila kusahau lilipokwa airport.Kiungo wa hovyo sana huyu,kila shambulizi.la timu pinzani lilikuwa linaanzia kwake..lakini mashabiki maandazi walikuwa wanapeleka lawama kwa walinzi,,KUMBE SOURCE YA TATIZO mara nyingi ilikuwa inaanzia kwa NGOMA