Recent content by Bhagavan

  1. Bhagavan

    Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Hapana mkuu mliojaribu endeleeni kutupa mrejesho
  2. Bhagavan

    Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Kwa mazingira ya kule tundikali lazima iwepo
  3. Bhagavan

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Kuna muda wafia dini nawaona wapumbavu waliokosa maarifa wewe mkristo ukaongelee ya muislamu halikadhalika musilam ukaongelea ya mkristo unapata faida gani. Siku zote ambao imani zao za kupanda na kushuka ndio huwa wanafanya hivi hakuna mjadala wa kiimani ulishawahi kufika makubaliano kila mtu...
  4. Bhagavan

    FT: Far Rabat 1-0 Yanga SC | CAF Champions League | Olympique de Rabat | Februari 7, 2026

    Huu uchezaji wa Yanga sijauelewa mpaka sasa
  5. Bhagavan

    Unawezaje kuishi na mwanamke wa namna hii?

    Ndoa ni kama betting tu.
  6. Bhagavan

    Unawezaje kuishi na mwanamke wa namna hii?

    Kesi kama hii sio jambo dogo tuneona matokeo ya kauli hii vumilia huko nje hakuna alie kamilika. Kuna tabia hazivumiliki kadri unavyo vumilia ndio unavyozidi kuteseka. Achana nae huenda ukapata mwingine asiwe msumbufu
  7. Bhagavan

    Unawezaje kuishi na mwanamke wa namna hii?

    Kenge hasikii mpaka atoke damu. Zidisha ujinga wako kwa mkeo atabadilika na hasira zitaisha mkuu.
  8. Bhagavan

    Unawezaje kuishi na mwanamke wa namna hii?

    Hii kauli inafanya watu wengi wawndelee kuteseka kwenye ndoa zao
  9. Bhagavan

    Nisaidieni kumpata mganga mzuri wa kuinua nyota na kufungua riziki kiuchumi

    Kama unajua Mungu atambariki huyo arakae kupa namba au kukuelekeza kwa mganga kwa nini usimuombe Mungu akubariki kupata unachotaka.??
  10. Bhagavan

    Dark days 17/03/20

    Alisema Jumamosi lakini hakusema jumamosi ya tarehe ngapi. Tuendelee kusubiri simulizi
Back
Top Bottom