Recent content by Bhagavan

  1. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Hivi kabila lina libido au ni watu?

    NGONO na PESA ni tatizo sana hapa duniani.
  2. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Mambo 6 ambayo mwanaume hapaswi kuvumilia kamwe kutoka kwa mwanamke

    Hakuna kazi naiona ngumu duniani kama kudeal na hawa viumbe wanawake.
  3. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Nimfanyeje mke wangu aipende na kuifurahia harufu ya sigara isimkere, Ndoa bado Changa

    Yeye na sigara nani kamkuta mwenzake??
  4. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya Uongozi

    Kama iko hivyo hawamtaki na wamemuondoa kwa hila basi hawaja tenda haki. Lakini kama hiyo binti alichokuwa ana sema yupo sahihi na ni kweli basi ywamuzi ulochukuliwa ni sahihi kabisa kwa hao Bakwata kulinda heshima ya taasisi yao kwa wafuasi wao. Ukiangalia hii kadhia kama ina ukweli ni...
  5. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

    Allah atufanye tuwe wenye kuwa na wema zaidi kuliko ubaya Inshaallah
  6. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya Uongozi

    Kwa nini uikataae namba moja kwani haiwezekani yeye kuteleza na kufanya dhambi?? Yote yanawezekana Allah ndio mwenye kujuwa ukweli
  7. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

    Inategemea kilichozidi ni kipi katika matendo hayo mawili. Haviwezi kuwa balanced lazima imma uzidi wema au uzidi ubaya lakini sifa zote hizo binaadamu anazo. Tutakutambua kwa ile sifa iliyozidi.
  8. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania What am I missing?

    Pole sana mkuu ila tambua matatizo hajaumbiwa paka.
  9. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Tumetofautiana sana kimtazamo linapokuja suala la mirathi huwa sioni umuhimu wake kabisa hasa kwa mtoto wa kiume huwa nashangaa inafikia hatua ndugu wanaumizana na kuuwana kwa sababu ya mirathi. Imeandikwa utakula kwa jasho pambana upate vyako
  10. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Hivi mwanamke anaweza kuwa mlevi na asiwe malaya?

    Huwa sijiulizi mara mbili mwanamke mlevi ni malaya tu
  11. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Je Wazanzibari Kama Wakipiga Kura Leo Wataukubali Muungano Ambao Hawakuupigia Kura?

    Zanzibar inaundwa ni Unguja na Pemba. Wasiwasi wangu kuwa kama wazanzibar watataka kuvunja muungano wa Tanganyika na Zanzibar basi kunanuwezekano na zanzibar ikavunjika pia Wapemba nao watataka serikali yao na Unguja watataka serikali yao.
  12. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania NIMETHIBITISHA: Dunia haipo, ni unaota tu!

    Five fingers of death ( masomo ya path society)
  13. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Utajitia mikosi
  14. Bhagavan

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Kaka unakabia juu sana punguza kupress
Back
Top Bottom