UKiondoa first eleven iloabza jana sidhani kama benchi kulikuwa na mchezaji wa kuleta mabadiliko japo hii haiondoi mapungufu ya kocha wetu kuwa hana mbinu za ushindi mbele ya kocha wa simba wa sasa.
Kuna muda wafia dini nawaona wapumbavu waliokosa maarifa wewe mkristo ukaongelee ya muislamu halikadhalika musilam ukaongelea ya mkristo unapata faida gani. Siku zote ambao imani zao za kupanda na kushuka ndio huwa wanafanya hivi hakuna mjadala wa kiimani ulishawahi kufika makubaliano kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.