Kuna muda wafia dini nawaona wapumbavu waliokosa maarifa wewe mkristo ukaongelee ya muislamu halikadhalika musilam ukaongelea ya mkristo unapata faida gani. Siku zote ambao imani zao za kupanda na kushuka ndio huwa wanafanya hivi hakuna mjadala wa kiimani ulishawahi kufika makubaliano kila mtu...
Kesi kama hii sio jambo dogo tuneona matokeo ya kauli hii vumilia huko nje hakuna alie kamilika. Kuna tabia hazivumiliki kadri unavyo vumilia ndio unavyozidi kuteseka. Achana nae huenda ukapata mwingine asiwe msumbufu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.