Recent content by BEYOND_LIMIT

  1. BEYOND_LIMIT

    PostGE2025 Mwambieni huyo Mtu wenu kuwa asiwaamini sana Marekani anaojivunia nao kuwa Watamlinda kwani wakipewa Rasilimali watamrudisha tu na wala hawatojali

    mnatumia nguvu kubwa sana na upumbavu kujaribu kumaliza tatizo, sasa kama nyie ndio washauri vichwa maji kiasi hiki, unatarajia nini
  2. BEYOND_LIMIT

    PostGE2025 Niwakumbushe tu, wale waliojikuta waandamanaji sana, sasa hivi wameshasahaulika, sasa na wewe jikute una mapenzi sana kuandamana

    hakika wewe ni hasara na laana kwa wazazi wako na kizazi chako..mtumwa kamili katika fikta zako..mshenzi kama washenzi wengine.. maskini wa akili.. na mwisho wa siku utaliwa tako na unaowatetea
  3. BEYOND_LIMIT

    PostGE2025 Mapendekezo ya muundo wa idara kuu katika wizara mpya ya vijana kama Rais alivyowahidi

    oyaaa ondoa ushoga wako hapa, akili nzito hata ku type huwezi
  4. BEYOND_LIMIT

    Kwanini MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar Husivunjwe?

    hapa Nyerere alikosea sana, ange merge tu ikawa kitu kimoja, mambo yasingekuwa mengi
  5. BEYOND_LIMIT

    Kisa kilichotokea wakati wa kutafuta mekyuri

    Mzigo wa mercury una stori nyingi sana..sijui kama huwa zina ukweli
  6. BEYOND_LIMIT

    Utaratibu wa trafiki kunakili kosa pamoja na taarifa za dereva una lengo gani?

    Hii kitu imenikuta week iliyopita sikuelwa lengo la yule askari barabarani..kaandika mpaka namba ya simu, mimi pia sikuelewa ila kwa kuwa nilkuwa na haraka zangu nikaona acha niondoke asinipotezee muda
  7. BEYOND_LIMIT

    Msaada: Wapi nitapata fundi wa kuunga hii Rim?

    Nunua rim mpya maisha hayana spare bro.
  8. BEYOND_LIMIT

    Hidden in Einstein's Math: Faster-than-Light Travel?

    Electrons do not move ,just vibrate from one another
  9. BEYOND_LIMIT

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Front grill na real spoiler subaru legacy 2004 ntapata?
  10. BEYOND_LIMIT

    Mliobahatika kupata kazi bila hata interview mtupe siri

    Kitu vitu viwil tu ambavyo vinaweza kukusaidia kazi bila interview: 1. Kuunganishwa / connection 2. uniqueness / utofauti Wengi tunategemea namba moja lakin amin nakwambia namba 2 ina nguvu sana, kuwa tofauti na wenzio katika same field, mim nmeshafanya kazi miaka miwil bila boss kuomba cheti...
  11. BEYOND_LIMIT

    Acheni kuweka password kwenye simu ili.likitokea lolote iwe corona au chochote mawasiliano yawepo

    Emergence namba nazani kila simu inayo ila shida ni watu wachache ambao wanajua au wataweza kuifikia option hyo pindi watakapoipata simu yako. Japo kuna option ya ku display number na ujumbe kwenye simu hata kama umei lock pindi tu utakpowasha display. teaching fools some basic rules
  12. BEYOND_LIMIT

    JamiiForums Usiku wa manane

    Sasa hivi ni saa 00:08 teaching fools some basic rules
Back
Top Bottom