Recent content by bestest

  1. B

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mikocheni B umeme hakuna, je ni mgao? kama mgao umeme utarudi saa ngapi au hitilafu?
  2. B

    JamiiForums Tanzania Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

    Natafuta picha ya Mwalimu Nyerere ya 1983 akipokea tuzo ya Nansen aliyopata kutokana na msaada wake mkubwa kuhifadhi wakimbizi Tanzania. Mwenye nayo tafadhali naomba msaada.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Gharama ya Kupaka rangi conmix

    Habari zenu? Naomba kupewa makadilio ya kupaka rangi conmix kwa nyumba yenye vyumba vitatu, store, jiko, sebule na dining. Makadilio tu ili niweze kujua najipanga kuanzia wapi. Nyumba ilishapakwa rangi ya kawaida kabla ila imechakaa inahitaji kubadirishwa. Asante.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Ninauza mayai ya kuku chotara

    Habari zenu, Ninauza mayai ya kuku chotara. Bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tu.Ninapatikana Mbezi ya Kimara. Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa Dar es salaam ninaomba anijuze. Karibuni sana.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ninauza mayai ya kuku chotara

    Habari zenu ninauza mayai ya kuku chotara bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tuna patikana Mbezi ya Kimara. Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa Dar es salaam ninaomba anijuze. Karibuni sana.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Ninauza majogoo aina ya Kroiler/chotara.

    0685 323620
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ninauza majogoo aina ya Kroiler/chotara.

    Habari za kazi! Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni. Shukrani.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Ninauza majogoo aina ya kroilers/chotara

    Habari za kazi! Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni. Shukrani.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Naulizia soko la kuku chotara/ Kroilers.

    Dar es salaam
  10. B

    JamiiForums Tanzania Naulizia soko la kuku chotara/ Kroilers.

    Habari zenu? Mimi nimfugaji wa kuku chotara lengo ilikua ni kwaajili ya biashara ya mayai lakini baada ya kuletewa vifaranga nikakuza na majogoo ambayo kwasasa nimeamua kuyauza. Wapi nnaweza kupata soko nikauza majogoo, yana miezi 6.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Shule ipi nzuri kwa A level kwa ajili ya kijana wangu mwakani hususani za Serikali?

    Asanteni sana, nimegundua nilikosea kwenye ombi langu kwani sikua specific kuwa sio shule ya serikali kwani sina uwezo wakumuingiza shule ya serikali, hivyo ningepata kujuzwa shule za binafsi ingefaa zaidi. Shukrani
  12. B

    JamiiForums Tanzania Commercial Bank of Africa (CBA) graduate trainee interview

    naomba kuuliza, kuita watu wanatuma email au wanapiga simu?
  13. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kila nikitaka kuinstall itunes ikifika inaroll back

    Asantee...ntajaribu now
  14. B

    JamiiForums Tanzania Nnauza HTC 620

    Ninauza HTC 620 kwa 290,000 Mwenye kuhitaji anipm
Back
Top Bottom