Ninauza mayai ya kuku chotara

Ninauza mayai ya kuku chotara

bestest

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
67
Reaction score
9
Habari zenu,

Ninauza mayai ya kuku chotara. Bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tu.Ninapatikana Mbezi ya Kimara.

Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa Dar es salaam ninaomba anijuze.

Karibuni sana.
 
Back
Top Bottom