kura za wananchi zinaonesha Clinton kamzid Trump ila zile kura 538 ndio zimempa ushindi Trump kias flan ni inachanganya ila ndo katiba yao wamwache tu Mr Trump awanyoooooooooooooooooooooshe
Huwa ni kwa interests za wachache sana
Kabla haujashabikia jambo lolote linalohusu uvunjifu wa amani wacheki jirani zako na maisha wanayoishi
Rwanda Burundi DRC Angalia pia historia zao
Angalia documentaries mbali mbali zinazohusu maeneo hayo
NI KWA FAIDA YA WACHACHE
NA WENGİNE Nİ NJİA YA...
İkifika usiku huwa napitia mawazo ya vijana wa kibongo wa jf yani mawazo yapo kisiasa siasa tu [emoji52][emoji52][emoji52]
Hamna hata kufanya kazi
Demokrasia demokrasia upuuuzi mtupu
Kwa bahati mbaya sana watanzania hawana uzalendo na nchi yao huo ndo ukweli...asilimia kubwa sana wapo kimaslahi kwahiyo hata ambao wana nia ya dhati ya kuitumikia nchi yao hawaaminiki lakini katika kila kutafuta mafanikio lazima upitie shida...hamna kitu kizuri kinachopatikana kirahisi...
Wateja wako wameenda wapi? Au ulikua hujui aina ya wateja unaowahudumia
Mbona Mangi kitaa na duka lake hajafunga ?? Na yule mama ntilie pale mbona kila siku yupo tu akihudumia wafanyakazi wa kile kiwanda na pia mbona yule mshikaj anae endesha boda boda bado yupo na piki piki yake anajitahd sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.