Inno laka
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,616
- 583
Endeleeni kufarijiana..wanatishia tu hawatakagua, ukijisalimisha utakuwa mbuzi wa kafara
Endeleeni kufarijiana..wanatishia tu hawatakagua, ukijisalimisha utakuwa mbuzi wa kafara
Huo ujanja sidhani kama anao....Weka pic tukuone
hawawezi wale mkuuEndeleeni kufarijiana..
Waache wajitie moyo na kupingana na ukweliEndeleeni kufarijiana..
Bado unatumia simu ya 195000!!!Ndo ushuri huo au kuvunjana moyo tu
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Sijui ningefikaje hapa kama nisingekuwa na akili.....
wewe ni zaid ya jpu, maana yake nkwamb wewe sio jpu ten bali umekuwa kdonda sasa, so unahitaji kutibiwa badala ya kutumbuliwa.Habari wana Jf...
Mimi niliajiliwa miaka saba iliyopita.....kwa kweli hili swala LA vyeti linanikondesha na linapelekea kupoteza furaha yangu kila nikumbukapo yale maneno aloyatamka Mkuu Wa polisi kanda maalumu ya Dar es saalaam....
Najiuliza je na Mimi ni jipu....Mimi mwaka 2009 niliajiliwa na post yangu ya kwanza ilikuwa Bunda. Ni kweli chet nilichotumia kuingilia hakikuwa cha kwangu lakini baada ya kuingia tu kazini nikasoma Qt hiyo 2010 na 2011 nikafaulu baadae 2013 nilifanya mtihani Wa kidato cha sita na pia nilifaulu vizuri ..baada ya hapo nilijiunga na chuo kikuu huria 2013 nategemea kugraduate mwaka huu yaani 2016...lakini kazini bado sijavisajili hivi vyeti vingine.....vya QT naombeni ushauri wenu juu ya hili......
Jibu ni NDIO..
wewe ni JIPU period.