Tamko la CHADEMA asili

Tamko la CHADEMA asili


Hivi hiki chama cha "Chadema Asili" kimesajiliwa na msajili mkuu wa vyama....?
Makao makuu yao yako wapi?
Mwenyekiti & Katibu wao ni nani?
Ukawa umesajiliwa wapi? Makao yake yako wapi? Na mwenyekiti wake?
 
Ndugu wana jf,
CHADEMA asili tuliosalia kuipigania demokrasia ya kweli na kuupiga vita ufisadi unaofanywa na viongozi waliopo CCM na walioondoka,
Tunajua nchi ipo katika kipindi cha vuguvugu la mabadiliko ya kisiasa kisera na kiuchumi,sisi CHADEMA asili tunafuatilia yale yote yanayo endelea na yanayofanywa na serikali mpya ya rais magufuli,

Labda tuseme yapo tunayompongeza na yapo tusiompongeza,
Tunayompongeza ni kama vile utendaji kazi wake wa utumbuaji majipu na kurudisha nidhamu maofisini,
pia labda tuchukue fursa hii kumpa pongezi kupewa uenyekiti,

CHADEMA asili haturidhishwi na mambo yanavyokwenda kwenye chama chetu,hivi sasa kila mmoja ni msemaji wa chama,chama kimekuwa na watu waoga kupita kiasi,tunajua sisi ni watu wa maandamano na kupigwa,

Hatuungi mkono mkono wabunge wa upinzani kutoka nje kwenye vikao vya bunge utamaduni ni kupambana kwa hoja ikishindikana maandamano,
Mpaka sasa chama kimetupa hoja yake kuu ya chama kupambana na ufisadi ambayo kipindi cha nyuma tulikua tukitembea kifua mbele,

labda tumpongeze mwenyekiti kwa kuendelea kuwepo katika harakati japo kuna watu wanataka kumzidi nguvu,
pia ombi letu mwenyekiti turudishie ile list ya mwembe yanga pale kwenye tovuti ya chama na pia sloogan ya kupambana na ufisadi lazima kila kiongozi mjumbe aimbe hilo na pia chama kufeli kwenye kuhitimu turudi kwenye harakati,

pia tunalaani chama kutumia pesa nyingi kwenye media kujaribu kusafisha watu walioamua kujifunika matope kwa utashi wao.
ni hayo kwa leo ila yapo mengi kwa baadae!

CHADEMA vyema sum sum kazi ngumu
hatupigi ila tunaua,kwanini kwa sera.

Imetolewa na CHADEMA asili
OK tumekusikia vipi? huko kwenu umagambani salama? maana nasikia wengine mmeapa kuahakikisha magu anapigwa chini??
 
Hapana CHADEMA ni moja wewe uliekwazika nakushauri nenda karambe dimu
Hapana mkuu
Tudai CHADEMA yetu imara ya kabla ya Oktoba mwaka jana,kabla hajaja Mheshimwa Lowassa

Sasa CHADEMA ni chama cha ndiyo mzee chochote wanacho ambiwa na serikali wanaufyata tu!Kufanya siasa ni haki yetu na kila Mbunge ktk Jimbo lake ilitakiwa awe imara afanye siasa

Sasa Lowassa ndiye kiongozi wa chama,kwa mkutano upi ulio mchagua?
 
kipara kipya kama kuna MICHANGO kuchangia harakati hizi tafadhali nijulishwe
Lowassa,Mbowe,Msigwa,Lissu na Mashinji OUT

Mnyika,Haonga,Heche,Silinde na Iron Lady wapewe CHADEMA yetu
 
Hapana mkuu
Tudai CHADEMA yetu imara ya kabla ya Oktoba mwaka jana,kabla hajaja Mheshimwa Lowassa

Sasa CHADEMA ni chama cha ndiyo mzee chochote wanacho ambiwa na serikali wanaufyata tu!Kufanya siasa ni haki yetu na kila Mbunge ktk Jimbo lake ilitakiwa awe imara afanye siasa

Sasa Lowassa ndiye kiongozi wa chama,kwa mkutano upi ulio mchagua?
Makamanda wote wanaogopa kuhoji,wamebaki kukaa kimya!
 
Mleta uzi acha kutoa povu. ..ondokeni mkaanzishe chama chenu...

Hauna tofauti na wale wanaolalamikia ndoa alafu hawaachani.

Pia huyo mzee alishasema mwende mahakamani nyinyi mnakuja kuleta porojo JF.

Kuwa mpole
 
OK tumekusikia vipi? huko kwenu umagambani salama? maana nasikia wengine mmeapa kuahakikisha magu anapigwa chini??
Tunamsubiri akipigwa chini tunamchukua si ndio mafisi yenyewe wamizoga!
 
Mleta uzi acha kutoa povu. ..ondokeni mkaanzishe chama chenu...

Hauna tofauti na wale wanaolalamikia ndoa alafu hawaachani.

Pia huyo mzee alishasema mwende mahakamani nyinyi mnakuja kuleta porojo JF.

Kuwa mpole
Tatizo mkuu umetawaliwa na hofu!
 
Shindu Namwaka" data-source="post: 16932357" class="bbCodeBlock bbCodeBlock--expandable bbCodeBlock--quote js-expandWatch">
Ukawa Siyo chama Bali ni muungano wa vyama vilivyoungana kupambana chama cha Mafisadi kuliko chama chochote Tanzania.
kwahyo sio katiba ya wananchi
 
chadema asili wako wengi tu.wengi wamehama ccm wanaona angalau ccm ya magufuli inataka kukata kiu yao ya mabadiliko.chadema ya sahvi haieleweki kabisa inasimamia nn

Umenena mkuu
 
Mleta uzi acha kutoa povu. ..ondokeni mkaanzishe chama chenu...

Hauna tofauti na wale wanaolalamikia ndoa alafu hawaachani.

Pia huyo mzee alishasema mwende mahakamani nyinyi mnakuja kuleta porojo JF.

Kuwa mpole
 
Back
Top Bottom