Wazo zuri sana katika kutafuta kwangu kazi upande wa sales nakutana hili swali unaweza udereva kama unaweza kazi ipo mwisho wa siku napambana nipate ela nijifunze udereva.
Binadamu hakosi madhaifu cha msingi ni kumwomba M/Mungu ampe hekima na maarifa kiongozi wetu kuliko kuendelea kulaumu,huyu akimaliza mda wake tutaanza kumkumbuka na kumsifia na atakae kuwepo tutaanza kumlaumu,ubinadamu kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.