Hahahaahh hawa wanaume wa dar walegevu sana mtu hawezi kukamatwa na scopion akatolewa macho alafu watu wanaona na huyo aliyetolewa macho hata kujitetea hata kwa meno hakuna [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Habari za leo wandugu naombeni msaada mwenye ufahamu mzr na bihashara ya saloon za kike anisaidie nataka nifanye hyo bihashara naomba kujua ni vitu gani vinahitajika au vinavyowavutia wateja kwa wingi
asanteni
Kama hyo lain ulikuwa unaitumia kwa michepuko ni vyema ukabadl unless utaharibu ndoa yako ila kama lain hyo ndo ya kibiashara na mishe zingne unaweza komaa nayo lakn ukawapiga stop hao wengne
Sawa mwanafunzi alikosa kama alifanya hayo uliyoandika lakni waliokosa zaidi ni walimu waliompiga kwa namna ile wao kama walezi kwann hawakuchukua hatua sitahiki kwa mkuu wao wa shule ili huyo mwanafunzi apewe adhabu ili sahihi na sio kwa adhabu ile make hao walimu walikurupuka na ww kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.