Uhakiki wa vyeti bado unaendelea?

Uhakiki wa vyeti bado unaendelea?

Wale Wanaotumia Cheti Kimoja Watapatikana Kwenye Database Ya NIDA Maana Itaonyesha Coliision Ya Certificate Numbers, Na Hapo Itabidi Muitwe Wote Na Huyo Mwenye Feki Ataingia Mitini Na Biashara Kuishia Hapo, Ila Kama Ata Declare Kuwa Hana Cheti Anaweza Pangiwa Adhabu Nyingine Ila Kumfukuza Kazi Ni Adhabu Ya Mwisho Baada Ya Onyo Nk
 
Sasa kidato cha 4 & 6, baadae tutaangalia Vyeti vya taaluma, hivyo taaluma feki tutazitambua.
 
...tymeanza uhakiki wa uraia, tukimaliza huo tutafatia wa jinsia pia, rangi za mwili, uadilifu n.k...wakati wote huo hatuajiri mtu wala kupandisha cheo na mishahara...mpaka mpaka mpungue hapa mjini
 
Wana JF,

Naomba kuuliza vipi zoezi la uhakiki linavyoendelea kufanyika hapa nchini lina matokeo gani? Kuna wafanyakazi hewa vipi hao wanachukuliwa?
Kuna wenye vyeti original lakini si vyao nao vipi wao hujulikana?
Vipi unafanyika uhakiki kwa watumishi wa sekta za ulinzi (JWTZ, polisi, na Magereza) afya (madaktari na manesi) na walimu (wa primary, secondary na vyuo)? Nini tofauti kati ya uhakiki wa idara hizo tatu tofauti ktk uhakiki huo?
Kipi cha kuzingatia wakati wa uhakiki unafanyika kwako?
Nini hatima ya watu ambao hawana vyeti vyao halisi ila wanavyo halisi lakini si vyao?

Naomba kupata maelekezo kwa wale waliowahi kufanyiwa uhakiki na wale wenye ufahamu wa kina juu ya zoezi hili na lini mwisho wake kwa ujumla.

NAWASILISHA.
Hapo mm naomba kuuliza wanaohusika kuhakiki hvyo vyeti ni watu gani na je wanaohakiki sekta zote ni watu wa aina moja???
 
Hili zoezi linakoelekea watu watakufa kwa presha
 
Wiki ijayo tunaanza na wastaafu, mpaka kieleweke. Wastaafu wengine wanamiaka 120 bado wanalipwa tu
 
Wale Wanaotumia Cheti Kimoja Watapatikana Kwenye Database Ya NIDA Maana Itaonyesha Coliision Ya Certificate Numbers, Na Hapo Itabidi Muitwe Wote Na Huyo Mwenye Feki Ataingia Mitini Na Biashara Kuishia Hapo, Ila Kama Ata Declare Kuwa Hana Cheti Anaweza Pangiwa Adhabu Nyingine Ila Kumfukuza Kazi Ni Adhabu Ya Mwisho Baada Ya Onyo Nk
Hapo nmekuelewa mkuu
 
Mbona mitambo yenyewe ya kuhakiki nayo ni feki? Na miingine imeshaanza kuibiwa.
 
Hivi kunatofauti gani kati ya vyeti feki na vile vya watu zaidi ya mmoja lakini ni OG?
Vyote n feki uhakiki wa necta ndo utatoa majibu kwa vyeti vilivyojirudia au vilivyofutwa initial katikat
 
Back
Top Bottom