Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,318
Yes waende mbali maana ma Dr. wengi serikalini wana PhD feki yaani za mufukoni kama za kina "Union of unguja and zimbabwe".Eeeh mpaka PHD!!!!
Yes waende mbali maana ma Dr. wengi serikalini wana PhD feki yaani za mufukoni kama za kina "Union of unguja and zimbabwe".Eeeh mpaka PHD!!!!
Kuna wale wanaofanya kazi kwa kutumuia vyeti vya ndugu zao,hao watapatikanaje?Kama una vyeti feki usijaribu kwenda navyo wiki hii nimeambiwa na majiran zangu hapa wafanyakazi wenzao watatu mpka sasa wapo selo
halafu eti wanadai copy, mpaka nmeshangaa sanaHivi kunatofauti gani kati ya vyeti feki na vile vya watu zaidi ya mmoja lakini ni OG?
naamanisha wanakusanya copy za vyeti na sio OGvipi weye wamekuambia chako ni copy au unawashangaa hao wanaosema wamepeleka vyeti feki mkuu hapo cjakusoma hapo!!
Pole mkuuKuna wale wanaofanya kazi kwa kutumuia vyeti vya ndugu zao,hao watapatikanaje?
Hapo mm naomba kuuliza wanaohusika kuhakiki hvyo vyeti ni watu gani na je wanaohakiki sekta zote ni watu wa aina moja???Wana JF,
Naomba kuuliza vipi zoezi la uhakiki linavyoendelea kufanyika hapa nchini lina matokeo gani? Kuna wafanyakazi hewa vipi hao wanachukuliwa?
Kuna wenye vyeti original lakini si vyao nao vipi wao hujulikana?
Vipi unafanyika uhakiki kwa watumishi wa sekta za ulinzi (JWTZ, polisi, na Magereza) afya (madaktari na manesi) na walimu (wa primary, secondary na vyuo)? Nini tofauti kati ya uhakiki wa idara hizo tatu tofauti ktk uhakiki huo?
Kipi cha kuzingatia wakati wa uhakiki unafanyika kwako?
Nini hatima ya watu ambao hawana vyeti vyao halisi ila wanavyo halisi lakini si vyao?
Naomba kupata maelekezo kwa wale waliowahi kufanyiwa uhakiki na wale wenye ufahamu wa kina juu ya zoezi hili na lini mwisho wake kwa ujumla.
NAWASILISHA.
Basi vyeti vyake ni feki na hajiamini ndo mana anaogopa kufuatilia mwenyeweKuna Rafiki angu wa karibu sana ndiye anayetaka kujua zaidi buti hajui lolote kuhusu hili
Hapo nmekuelewa mkuuWale Wanaotumia Cheti Kimoja Watapatikana Kwenye Database Ya NIDA Maana Itaonyesha Coliision Ya Certificate Numbers, Na Hapo Itabidi Muitwe Wote Na Huyo Mwenye Feki Ataingia Mitini Na Biashara Kuishia Hapo, Ila Kama Ata Declare Kuwa Hana Cheti Anaweza Pangiwa Adhabu Nyingine Ila Kumfukuza Kazi Ni Adhabu Ya Mwisho Baada Ya Onyo Nk
Vyote n feki uhakiki wa necta ndo utatoa majibu kwa vyeti vilivyojirudia au vilivyofutwa initial katikatHivi kunatofauti gani kati ya vyeti feki na vile vya watu zaidi ya mmoja lakini ni OG?
Yan kuna baadhi wanakamatwa kuna maswali unaulizwa kuhusu shule uliyosoma ukijiumauma tu imekula kwakoKuna wale wanaofanya kazi kwa kutumuia vyeti vya ndugu zao,hao watapatikanaje?