EBWANA nakubaliana na maelezo yako kwa asilimia 100 kaka...vyama vya upinzani kwa tanga vinajisahau kabisa nilipata majibu kwenye uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mtaa
Jamani hili taifa linakoelekea ni kubaya sana maana kila sector ni majanga tuu. walikuja na fao la kujitoa watu wakachachamaa sasa wanakuja na staili nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.