Wabunge wengi wa Tanga walishawahi kuwa mpaka mawazir kina kigoda, Mwapachu na Omari Nundu, Makamba na Ummy mwalim na sasa kuna Adadi hiyo ni ishara ya kwamba wasomi wapo lakin hawapendi siasa sabab siasa ni mchezo mchafu tu, na wengi wanaoingia kwenye siasa ni lazima iwaingize katika dhulma kwahiyo kwa kuhofia dhambi huwaamua kukaa pembeni, elimu zote 2 wanazo za dunia na akhera na hapo nazungumzia kwenye uongozi, na Katika raia kama raia watu watanga hawapendi vurugu na si kwamba hamna siasa kama mnavyodhani C.U.F. imekamata maeneo mengi tu, sema wao si wajinga wakutaka kuendesha chama kwa kutumia pesa zao mfukoni, kama vyama vya siasa mmeshindwa kuwapa migao mikoani na mnaamini Chadema ni Dar na Moshi/Arusha basi mtasubiri sana wao kukitangaza chama kwa pesa yao ya mfukoni sio wapumbavu ndo tatizo..na hamtasikia hizo habari za kutoka njiani kufanya maandamano ya kipuuzi yasiyokuwa na tija, tuambieni hiyo mikoa iliyopokea siasa kwa muamko mzuri na ushabiki wamefaidika na nini?? kupigwa virungu na polisi na wengine kupoteza maisha ndo walichofaidika na kati ya hao walopoteza baba au ndugu zao katika maandamano Chadema inawaangalia mpaka leo? labda kuwasomesha watoto wao au wajane wao na watoto ndo washapewa kisogo watajua wenyewe. TANGA SI WATU WAKUBURUZWA NA WANAAMINI MAENDELEO HUJA HATA KWA AMANI SI LAZIMA KIHEREHERE CHA SIASA