Mama mkwe vipi tena unapiga kura kusiko takiwa?
Mama mkwe wa nani huyu?
Mama mkwe vipi tena unapiga kura kusiko takiwa?
Umenipa hasira sanaMarehemu humo humo, waliokwenda hija humo humo wagonjwa humo humo, maridhiano humo!
....hapa shida ni nini?,meghji anotoka 201,je jina lake linatoka upande gani wa Tanganyika au Zanzabar,angalieni aliomba kupitia taasisi gani?.Atakamatika tu.....ikija kungundulika kama kamafanya hivyo..duh huyu mkwe atadharaulika na pengine akajipatia maadui wabaya sana.
....hapa shida ni nini?,meghji anotoka 201,je jina lake linatoka upande gani wa Tanganyika au Zanzabar,angalieni aliomba kupitia taasisi gani?.Atakamatika tu.....ikija kungundulika kama kamafanya hivyo..duh huyu mkwe atadharaulika na pengine akajipatia maadui wabaya sana.
Kakke huyo mama ni mzanzibar wa kuzaliwa kama ilivyo kwa wazanzibar wote kuwa wana haki zote za utanzania hivyo anaweza kushika cheo chochote tanzania maana ni mtanzania.
ila kwa mtu wa bara kuwa mznz lazima awe kaishi muda usiozidi 10yrs zanzibar .hapo hakuna utata. sasa huyo mama unasemaje sio mzanzibar kwa vile ameamua kuhamia dar ndio asiwe mznz,wewe uliyehamia huko UK tukuite sio mznz?
au kuna mahali popote kaelezwa kuwa yeye anawakilisha jimbo fulani bara?
hizi hoja za kitoto ndio ccm huwapiga nazo mnabaki mmeduwaa.
AWOTTA: Member: Zakia Hamdani Meghji
Kakke huyo mama ni mzanzibar wa kuzaliwa kama ilivyo kwa wazanzibar wote kuwa wana haki zote za utanzania hivyo anaweza kushika cheo chochote tanzania maana ni mtanzania.
ila kwa mtu wa bara kuwa mznz lazima awe kaishi muda usiozidi 10yrs zanzibar .hapo hakuna utata. sasa huyo mama unasemaje sio mzanzibar kwa vile ameamua kuhamia dar ndio asiwe mznz,wewe uliyehamia huko UK tukuite sio mznz?
au kuna mahali popote kaelezwa kuwa yeye anawakilisha jimbo fulani bara?
hizi hoja za kitoto ndio ccm huwapiga nazo mnabaki mmeduwaa.
AWOTTA: Member: Zakia Hamdani Meghji
Mama mkwe wa nani huyu?
Marehemu humo humo, waliokwenda hija humo humo wagonjwa humo humo, maridhiano humo!
Kakke huyo mama ni mzanzibar wa kuzaliwa kama ilivyo kwa wazanzibar wote kuwa wana haki zote za utanzania hivyo anaweza kushika cheo chochote tanzania maana ni mtanzania.
ila kwa mtu wa bara kuwa mznz lazima awe kaishi muda usiozidi 10yrs zanzibar .hapo hakuna utata. sasa huyo mama unasemaje sio mzanzibar kwa vile ameamua kuhamia dar ndio asiwe mznz,wewe uliyehamia huko UK tukuite sio mznz?
au kuna mahali popote kaelezwa kuwa yeye anawakilisha jimbo fulani bara?
hizi hoja za kitoto ndio ccm huwapiga nazo mnabaki mmeduwaa.
AWOTTA: Member: Zakia Hamdani Meghji
Mama mkwe wa nani huyu?
Mumewe alikuwa professor na ni mkuu wa Chuo pale Chuo cha Ushirika Moshi ni mtu wa Sumbawanga kwa mzee Pinda Uzanzibari ameupata wapi
Mkuu, sijakuelewa hapo kwenye Bold, hivi huyu mama sio viti maalumu? Halafu bold No 2, mbona mnamwita mkwe, ni mkwe wa nani kaka?
Si hivyo tu, bali inakuwaje mtu ambaye maisha yake yote amekuwa anaishi tanzania bara leo akapige kura kuiamulia zanzibar namna katiba yao iantakiwa iwe wakati hayo maamuzi hayatamhusu yeye na familia yake.? hapa kuna mizengwe. pamoja na kwamba ana asili ya zanzibar haimpi tiketi ya kuwaamulia wazanzibar mambo yao kwa sababu haishi huko. kwanza meghi amejeiandikisha kama mpiga kura wa bara au zanzibar? kwa maneno mengine wakati wa uchaguzi mkuu Zakhia huwa anapiga kura kuchagua viongozi wa zanzibar?Meghi ana kitambulisho cha mazanzibari mkazi? Wazanzibar msikubali huu upuuzi.
kinachoongelewa hapa ni kutaka kujua aliwekwa upande gani kati ya bara na znz wakati bunge la katiba linaanza, kuwa mzanzibar c hoja, yeye ameandikishwa kutoka upande upi ni mjumbe wa znz au bara kwenye BMK
Hamad Rash uteuzi wake ni upande wa Zanzibar huyu Intarahamwe uteuzi wake ni Bara alipoona ngoma inazama akabadilisha jahazi. Ni mmnafiki tu