Leejay49 niruhusu ni ku PM, nimejaribu kuandika ushauri kuhusu huyo mdogo wako ,nisingecoment hapa kwenye jukwaa, kwa kuwa nimehusisha maisha yangu, thus why kuna code ziko wazi sana kuhusu mimi .
Nimeshindwa kusend kwa kuwa umefunga PM yako , ila nimeusev kama hutajali nikutumie.
Mmmmmh una nini wewe hata kwenye vitabu vya dini vinasema jasho la mwanamke ni miliki yake, alichokitafta mwanamke ni chake .
lakini utafutaji mwanamme ni kwa familia, so huwezi ukamlazimisha mwanamke atoe chake ,ila anaweza akachangia kwa hiari yake.
Nimewasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.