Kaka hao ni matapeli
Wapo Tanzania na wanafanyia wizi wao maeneo yenye viwanja vya kimataifa wapo Wanageria na Wasenegal
Mi walinipapeli dollars 700 hapa japa Tanzania
Usikubali kudanganyika
Mi walinitapeli mwaka huu mwezi wa 3 KIA (KILIMANJARO INTERNATIONAL AIRPORT)
Nami nimejifunza mengi na ninashukuru sana kwa kupitia kuanza mwanzo mpaka mwisho.
Jibu nimepata
Nami ninaangaikia ajira na mfuko mimeona ni bora ni LAPF na ukifiatiwa na PSPF asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.