Ile round about sio suluhisho la foleni.. ungekua ni mtaalam wa mambo ya barabara ungeweza kujua hilo.. hio method of traffic control inafaida zake na hasaraa zake... hapoo wataaalamu Kabla yakuamua kujenga flyover itakua waliona hasaraa ni nyingi kuliko faida hivyo best solution wakaamua kuweka...
Nimefatilia uzi Toka mwanzon, sema sijaumaliza wote ila nikakutana na vitu kama PEP, undetectable status, naomba madaktar mnielezee vizur ni nn?.. msaada tafadhali
Watu wamesahau kua nchi ilichukuliwa wakat ikiwa inaelekeaa kuzama... asee kwel watanzania ni wasahaulifu... watu wamesahau kipindi kile mkwere anamalizia hazina kulikua holaa, hata mzee wangu mafao yake alikua anapigwa kalenda tu.. Kisa nssf pesa zimekombwa zote.... saivi mnakuja mlaumu...
Ila Asee Liverpool imekua shamba la bibi...imekua a piece of shit... aseee nashindwa kuelewa tatizo ni nin hasaa... Ila naskia Klopp kapewa pesa kidogo ya usajili... na amesema hawez sajili kwa kushinikizwa...akafanya wrong choice ya players... anasema atafanya usajili wa kueleweka dirisha...
Yaan nimesoma post za mashabiki wenzangu huku nikasikitika Sana yaan leo hii eti watu hawamtaki Klopp? Lazima tukubaliane na matokeo asee... kikosi chetu ni kidogo.. na tunabunch of average players. Cha muhimu ni kuwa patient tusubiri tu tutafika na bado tuna mechi nying tu...
#YNWA #kopites
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.