Kwa mujibu wa ripoti za AU hilo kundi linajulikana kama ansar al sunna au swahili sunna. Huku kwetu walianza na vituo vya polisi nadhani mnakumbuka stori za Stakishari, na baadae likaibukia la Kibiti. Mungu alitupigania na umahiri wa vyombo vyetu vya usalama tukamudu hali zote na sasa tuko...
Kwa mujibu wa ripoti za AU hilo kundi linajulikana kama ansar al sunna au swahili sunna. Huku kwetu walianza na vituo vya polisi nadhani mnakumbuka stori za Stakishari, na baadae likaibukia la Kibiti. Mungu alitupigania na umahiri wa vyombo vyetu vya usalama tukamudu hali zote na sasa tuko...
Kwa mujibu wa ripoti za AU hilo kundi linajulikana kama ansar al sunna au swahili sunna. Huku kwetu walianza na vituo vya polisi nadhani mnakumbuka stori za Stakishari, na baadae likaibukia la Kibiti. Mungu alitupigania na umahiri wa vyombo vyetu vya usalama tukamudu hali zote na sasa tuko...
Kwa mujibu wa ripoti za AU hilo kundi linajulikana kama ansar al sunna au swahili sunna. Huku kwetu walianza na vituo vya polisi nadhani mnakumbuka stori za Stakishari, na baadae likaibukia la Kibiti. Mungu alitupigania na umahiri wa vyombo vyetu vya usalama tukamudu hali zote na sasa tuko...
Aisee jamani ndoa sio majaribio, tujifunze kusoma tabia za watu kabla, familia/koo wanazotoka, marafiki na jamii gani wanatokea (kabila lao) n.k ukisha jiridhisha fuata miiko ya uchumba na harusi yote haya ukimwomba Mungu akuepushe na balaa au mikosi ya watu wenye tabia za hovyo. Nakuonea huruma...
Hii list bado ina bias maana kuna matajiri ambao sio vijana na wengi hapa ni wazee pia kuna wafanyabiashara waliopo mikoani ambao chimbuko lao la uzao ni mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kwahiyo lazima waonekane Mangi..
Regnald Mengi (RIP)
Davis Mosha
Felix Mosha
Mzee Lema wa Mwanza
Rowland...
Wale vijana wa Moshi miaka ya 90's mpaka 20's kuna zile Taxi "TOP STORY" za mhindi zilikuwa karibia kila stendi za daladala Moshi, stendi ya daladala za Pasua, Soweto, KCMC, Mbuyuni, Kiboroloni mpaka mjohoroni, Kibosho-Road kirima, Mailisita na kwingineko.. wanafunzi wa Muungano, Mwenge...
Mangi kuhusu mama kuku sio huyo mwenye changbai na hilo jina la kuku ni nickname yake yeye anaitwa "MAMA FEI" alikuwa pia na mchongo KCMC huyu alijulikana kwa kuuza sana makuku ya broiler kipindi hicho hayajajulikana sana ana ofisi Moshi na Arusha kama sijasahau maeneo ya Usa River.
Kijana mtanzania mtu mzima, unadiriki kuandikia serikali ya taifa lako neno la kashfa kuwa " tukiwaambia mnavuta bangi bila malengo mnalalamika" alafu unadhani utabaki salama bila kukutwa na mkondo wa sheria! yani unaweza kuta una wakashfu hadi ndugu zako ambao wapo ndani ya ajira ndani ya...
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya mtanzania mwenzetu mahala pema peponi, amen. Alikuwa shujaa na atabaki kuwa alama ya Tanzania hata kwa vizazi vijavyo.
Kila bianadamu ataonja umauti ila kabla ya kuondoka jiulize umeifanyia nini jamii yako, Mzee alipiga hatua kwani tunapoteza watoto hata siku...
Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia.
Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.