Habari zenu wanajamvi!
Nahitaji msaada wa kuandika mpango wa biashara. Kwa sasa sina pesa ya kulipia. Nitakuwa vizuri kifedha mwezi July. Nimeandika kwa 90%, mpango mzima. Mpango wangu wa biashara unahusu gas ya kupikia (LPGas). Kwa mwenye u tayari tuwasiliane kwa WhatsApp number +255785670038...
Katika maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika Rais mstaafu aliyehudhuria alikuwa ni Mzee Ruksa pekee. Lakini kwenye maadhimisho ya mapinduzi Mara is wastaafu wote wamehudhuria isipokuwa Rais wa Jamhuri! Binafsi siioni vema. Kunani?
Kwa hatua uliyoifikia sikushauri sana kufanya ubia na mtu. Jaribu kwenda NEEC national economic empowerment commission. Muhimu uwe vema kwenye documentation. PM kwa ushauri zaidi ukipenda
Inaonyesha unafadika na hali ilivyo! Ada elekezi si tu kwa kushusha kiwango cha Ada. Ada elekezi ni kuweka viwango vya shule. Utakuta shule zina tofauti kubwa katika mindombinu na maslahi ya wafanyakazi wake lakini kiwango chao cha ada kinalingana. Pia ikumbukwe kuwa elimu ni sekta nyeti si...
Nafikiri mtoa post unapaswa kuligeuza swali lako maana walioathirika zaidi na awamu ya tano ni CCM zaidi kuliko upinzani. Wapinzani walishazoea kuisoma namba. CCM ndio wanaanza hivyo wana hasira zaidi ya upinzani
Tatizo letu si matokeo
bali kutangazwa mshindi. Kwa mfumo Ulionao ambao watendaji wa tume ya uchaguzi na vyombo vya dola wana kadi za chama tawala kamwe hakuwezi kuwa na usawa. Tusishangilie sana mfumo uliopo kwamba unawabana wapinzani. Fikiria siku ambapo mwenyekiti wa tume akatamka kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.