Fursa: Natafuta business partner tufuge samaki

uberimae fidei

JF-Expert Member
Dec 16, 2016
2,679
4,281
Niko Bagamoyo, mabwawa yapo tayari na maji na baadhi yana samaki nimekwama kwenye kumalizia kuingiza mbegu kwenye baadhi ya mabwawa natafuta mtu aje na mbegu ya samaki tufuge pamoja.

Tutafanya kwa mkataba wa mwaka mmoja, samaki kuvunwa ni kwa mienzi 6 mbegu inahitajika sato na ya kambale, kiasi cha vifaranga kinachohitajika kambale vifaranga 10000 na sato 2000

Gharama yake ni milioni tano na laki sita, utaamua mwenyewe uje na vifaranga ama uje na kiasi cha ela tununue pamoja na kuchagua mbegu bora, gharama ya chakula tutashare pamoja unaweza kukadiria labda milioni moja itumike kwenye kulisha kwa kipindi chote cha mienzi 6, jumla ukatumia 6600000.

Mchanganuo kwenye kuvuna, hesabu yake kwa kilo ya samaki kwa bei ya jumla ni 6000 mpaka 7000, reja reja kilo 9000 mpaka 10000 na kila samaki ana uwezo wa kufikisha kilo moja kwa mienzi 6. Soko lipo la huakika, tutagawana faida nusu kwa nusu.

Kwa atakaye kua tayari karibu pm
 
Tatizo kubwa ni kwenye uaminifu
Nyumba yangu nimejenga apo apo ndo ninapoishi.unaweza pitia kote ujidhihirishie kabisa umiliki wangu halali mkuu.hakuna udanganyifu mkuu.ndo maana kuna option mbili unaweza kuja na vifaranga kabisa
 
Haina shaka mkuu, ni idea ambayo tayari nimeanza ifanyia kazi ila upande wangu nimebase kwenye kambale. Nitakucheki kama nikiwahi itakuwa njema
 
Ni pugu, ila ndo naanza yani. Nimeanza na bwawa moja ili nione mwenendo. Kama nikiweza basi ntaongeza mabwawa
Hongera mkuu.nakutakia mafanikio mema.watembelee pale eden Mara nyingi uendelee kuongeza ujuzi.unapafahamu?
 
Niko Bagamoyo, mabwawa yapo tayari na maji na baadhi yana samaki nimekwama kwenye kumalizia kuingiza mbegu kwenye baadhi ya mabwawa natafuta mtu aje na mbegu ya samaki tufuge pamoja.

Tutafanya kwa mkataba wa mwaka mmoja, samaki kuvunwa ni kwa mienzi 6 mbegu inahitajika sato na ya kambale, kiasi cha vifaranga kinachohitajika kambale vifaranga 10000 na sato 2000

Gharama yake ni milioni tano na laki sita, utaamua mwenyewe uje na vifaranga ama uje na kiasi cha ela tununue pamoja na kuchagua mbegu bora, gharama ya chakula tutashare pamoja unaweza kukadiria labda milioni moja itumike kwenye kulisha kwa kipindi chote cha mienzi 6, jumla ukatumia 6600000.

Mchanganuo kwenye kuvuna, hesabu yake kwa kilo ya samaki kwa bei ya jumla ni 6000 mpaka 7000, reja reja kilo 9000 mpaka 10000 na kila samaki ana uwezo wa kufikisha kilo moja kwa mienzi 6. Soko lipo la huakika, tutagawana faida nusu kwa nusu.

Kwa atakaye kua tayari karibu pm
Contact zako
 
Kwa hatua uliyoifikia sikushauri sana kufanya ubia na mtu. Jaribu kwenda NEEC national economic empowerment commission. Muhimu uwe vema kwenye documentation. PM kwa ushauri zaidi ukipenda
 
Niko Bagamoyo, mabwawa yapo tayari na maji na baadhi yana samaki nimekwama kwenye kumalizia kuingiza mbegu kwenye baadhi ya mabwawa natafuta mtu aje na mbegu ya samaki tufuge pamoja.

Tutafanya kwa mkataba wa mwaka mmoja, samaki kuvunwa ni kwa mienzi 6 mbegu inahitajika sato na ya kambale, kiasi cha vifaranga kinachohitajika kambale vifaranga 10000 na sato 2000

Gharama yake ni milioni tano na laki sita, utaamua mwenyewe uje na vifaranga ama uje na kiasi cha ela tununue pamoja na kuchagua mbegu bora, gharama ya chakula tutashare pamoja unaweza kukadiria labda milioni moja itumike kwenye kulisha kwa kipindi chote cha mienzi 6, jumla ukatumia 6600000.

Mchanganuo kwenye kuvuna, hesabu yake kwa kilo ya samaki kwa bei ya jumla ni 6000 mpaka 7000, reja reja kilo 9000 mpaka 10000 na kila samaki ana uwezo wa kufikisha kilo moja kwa mienzi 6. Soko lipo la huakika, tutagawana faida nusu kwa nusu.

Kwa atakaye kua tayari karibu pm
Nitumie namba yako tuonane.
 
Back
Top Bottom