Recent content by Benil

  1. B

    JamiiForums Tanzania Nawashukuru wote mliochangia uzi wangu mwaka jana mwezi wa 8

    Mimi na wife tulipoacha kujitia stress kuhusu mtoto na kuacha kuhangaika kila sehemu na kuamini kwamba ipo siku Mungu atabless, na kweli tukapata mtoto
  2. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Hio hali nilishawahi pitia, nachotaka kukwambia kama Mungu alikupangia kupata mtoto utapata. Acha kuhangaika kwa waganga, wewe amini ipo siku utapata mtoto. Mimi na Wife tuliacha kuwaza hili jambo na Mungu akatujaalia siku ilipowadia. Nilihangaika kama wewe ila mwisho niliachana na hayo mambo...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kikurya ni nomaa

    Sio wote
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Watu wafupi wamewakosea nini😀, hawastahili kupendwa?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Tunataka tujue hio site ni ipi ili tuaccess hio story
  6. B

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje? Mpangaji mwenzangu amekuwa ombaomba sana mpaka kero

    Umenena vyema, hii njia bora
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje? Mpangaji mwenzangu amekuwa ombaomba sana mpaka kero

    Naunga mkono hoja...wasaidie kwa ulichonacho, kama huna waambie huna, Baraka zitakujia tu ukiwa mtoaji
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kama unatafuta nyumba ya kupanga DSM, kuna vitu vya kuzingatia usivichukulie poa!

    Hivyo vitu na finishing ya nyumba ni gharama sana, ndo mana wanashindwaga kutimiza. Wanatoa ahadi kua watakamilisha ilihali hawataweza na wanafahamu kua finishing ya nyumba ni gharama
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Kiukweli elimu ya Bongo ya kukaririshana, haikufunzi kusolve real world problems
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kwa Mtaji wa 2.5M nitatoboa kwenye biashara ya uwakala?

    Kwa uwakala wa Bank, angalau uwe na shilingi ngapi pamoja na vigezo vingine?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Mnaofuatilia Fasihinet, tupeni Mrejesho je Mimi alifufuka au ndo ilikua kwa heri kafariki
  12. B

    JamiiForums Tanzania Hili la kuwaajiri graduate wa miaKa hii na kuwaacha wa miaKa ya nyuma sana limekaaje?

    Anaitoa wapi hio pesa ya kulipia Ada ya masters
  13. B

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Elton Tonny, mwendelezo Mkuu, ikikupendeza wikiendi hii iende poa
  14. B

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Hakika inabidi tujue, tumchangie mwamba tuendelee kupata simulizi. Hii ni simulizi bora sana
  15. B

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Mwamba Elton, ingefaa ukatupia nyingine leo, tumekaa sana kusubiri hii
Back
Top Bottom