Recent content by benard kiraka

  1. B

    JamiiForums Tanzania My people of Tanzania

    Hata mimi ningekuwa rais ukinishauri utumbo sitasikiliza
  2. B

    JamiiForums Tanzania Ninafanana tabia na Rais Magufuli, naelewa sana anaposema anapenda kusifiwa

    Huwa sipendi kutoa kutoa sifa kwa binadamu wanapotekeleza wajibu wao lakini kwa utendaji wake mheshimiwa rais anasthili kila aina ya sifa kwa haya anayoyasimamia na kuyatekeleza mwenyezi mungu amlinde sana saana yani.
  3. B

    JamiiForums Tanzania CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

    Nchi ni pori haina watu na hivyo vidonge vinatuumizia wa mama zetu acha maelekezo ya muumba yatimizwe
  4. B

    JamiiForums Tanzania Bado Tueendelee kusema vitu vya China ni Fake?

    Yamekuta usiseme nurudia mninga
  5. B

    JamiiForums Tanzania Jibu hesabu yangu, wengi mtafeli hapo

    Tweve 994 answer attracts it has a formula
  6. B

    JamiiForums Tanzania Jibu hesabu yangu, wengi mtafeli hapo

    4+4=20 5+5=30 (+10) 6+7=42 (+12) 7+7=56 (+14) 8+8=72 (+16) 9+9=90 (+18) JIBU= 90
  7. B

    JamiiForums Tanzania Jibu hesabu yangu, wengi mtafeli hapo

    72
  8. B

    JamiiForums Tanzania Jibu hesabu yangu, wengi mtafeli hapo

    Masahihisho 4+4=20 5+5=30 { 5+5=10} 6+6=42 {6+6=12} 7+7=56 {7+7=14} [8+8=72 {8+8=16}] ILIYORUKWA 9+9=??? {9+9=18} chukka 72+18 JIBU NI 90
  9. B

    JamiiForums Tanzania Jibu hesabu yangu, wengi mtafeli hapo

    74
  10. B

    JamiiForums Tanzania Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Alipohutubia bunge kwa Mara ya kwanza baada ya kuapishwa nilimpa100% Sasa zimeongezeka na zinaelekea kwenye kiwango cha juu sana.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Moto waua watu sita Kitunda, Apona mmoja tu aliyekuwa matembezini usiku!

    Familia rafiki tangu tu vijana imetuumiza sana na imetuachia majonzi mazito. Tunamwomba mwenyezi mungu awaweke mahali pema peponi amin.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Sitta, Mwakyembe wabadilishiwa Wizara

    Wakati mwingine unalazimishwa useme kutokana na tukio,lakini wakati mwingine unanyamazishwa kutokana na tukio hilo hilo, sasa sijui ni makusudi au? Tulikuwa wapi, yaani ni kweli hatuelewi, hatuoni?
Back
Top Bottom