Ni rahisi kaka,
4+4=20 (ni sawa na kuchukua 4 ya hesabu ya kwanza na Kuzidisha 5 ya hesabu ya pili 4x5=20)
5+5=30
6+6=42
7+7=56
8+8=72 (haikuwepo kwenye swali)
9+9= 90
10+10= (haikuwepo kwenye swali
Tofauti ni kuwepo kwa ongezeko la 2 kwa Kila jibu. Na kwa vile 8 hapo ilitakiwa kuwa 72 badala yake imejitokeza 9+9 badala ya 8+8
JIBU NI 74 badala ya 72
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.