pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 651
Watu wengi wamekuwa wakishangaa kauli za Rais wetu.
nyingi ni za kawaida sana kwa aina ya kundi ambalo Rais yupo. hawa watu wanahitaji akili nyingi sana kuwaelewa
Mimi nimeona kwenye mambo mengi nashabihiana naye sana tabia kwa hiyo namuelewa sana na ningependa kuwapa ujuzi wa kumuelewa Rais ili tumfanye afanye zaidi na nchi yetu isogee
Mungu hakuumba bnadamu wa aina moja dunia nzima. Tuko sawa kwa maana ya kushi na kufa lakini kitabia tunatofautiana sana. Rais Magufuri yuko kwenye kundi la watu wambao ni wachache na ni wagumu sana kuwaelewa. Mara nyingi unaweza kuishia kumchukia na kufikiri ni mkatiri sana. lakini watu hawa huwa ni wapole sana tena wana huruma nyingi
Udhaifu mkubwa wa watu wa namna yetu ni mmoja, kutokana na kupingwa sana sababu ya kutoeleweka vizuri huwa wanakata tamaa. Lakini huwa nasema ni aina ya watu ambao ukiwapa kazi itakwenda ingawa wanaweza kuathiriwa na kukatishwa tamaa.
dawa kubwa ni kuwatia moyo kwa kuona juhudi zao
mfano yapo mambo ambayo Rais bila hiana anastahili kusifiwa
1. umeme, siku hizi mgao haupo tena, ebu jiulize mgao wa zamani uklikuwa unatoka wapi, twende REA nyumba nyingi sana zimeunganishwa tena kwa gharama ndogo. service charge hazipo tena lakini umeme unaendelea vizuri
2. maji. dar karibu yote inaunganishwa sasa kwa nini asisifiwe kwa kazi nzuri
3. mabarabara kila mahali hadi njia kumi na mbili mbezi to kibaha. kwa nini wengine hawakufanya na huyu kafanikiwa.
4. elimu bure sijaona ikitetereka. mimi nimesoma shule zote za kayumba. naelewa umuhimu wa elimu bure. wengi wamesoma shule nzuri lakini kama sio shule za serikali labda ningekuwa mchoma mkaaa
5.ndege mpya, wapo watu wanasema hakukuwa na uharaka wa kununua cash. mimi nasema Rais kafanya uamuzi mzuri sana maana kununu kwa mkopo unaongeza riba sasa nani anataka kulipa zaidi.
7. umangimeza siku hizi umeisha. ni rahisi sana kumwona mkuu wa mkoa, katibu , mkuu au mku wa wialaya. zamani hawa walikuwa kuwaona ni shidaa.
8 utulivu wa kijamii kwa maana ya usalama. yapo matukio ya siyofurahisha lakini kwa ujumla usalama ni mkubwa sana. jamii yetu inaweza kustawi panapokuwa na utulifu haswaa wa kijamii. kwa hili naona hatuna shida kabisa
9. upande wa afya kila wilaya imepewa pesa za kujenga kituo cha huduma ya afya. hivi tunataka maendelea kwenye vitu vipi haswaa. maendeleo ni ustawi wa jamii na sio watu kuwa na pesa.
nasema ukweli sikumpa kura mheshimiwa ila kwa utendaji wake ananishawishi na ninaimani kama atatatua changamoto mbili kwangu nitampigia hata kampeni
changamoto ambazo rais ninejiona kwake kitabia angezitatua ni swala la watumishi na wastaafu na kukaa meza moja na wapinzani ili taifa liwe moja. pamoja na kutuwekea katiba nzuri ili mambo mema anayofanya yawe milele
nampongeza Rais wetu, anastahili pongezi kwa kazi nzuri tena sana na mweye macho na akili anaona.
nina imani tukimuunga mkono na kuendelea kummwagia pongezi nyingi kwa mema anayofanya tutamfanya atufikishe mbali
Tusisubiri afe ndio tuone wema weka. pia tusiwe miongoni mwa wale ambao historia itawahukumu kwa kupinga mambo mema yanayoletwa na mtu aliyejitolea. tusikatishe uzuri na utendaji wake kwa kushindwa kumpa haki yake nayo ni ndogo tu kumpa pongezi na sifa tele kwa kazi nzuri
viva magufuri viva presizaa na tunaomba pia uangalie watumishi na kuwaleta ndugu zetu wapinzani mezani mnywe chai.
tunaielewa sana kazi yako
nyingi ni za kawaida sana kwa aina ya kundi ambalo Rais yupo. hawa watu wanahitaji akili nyingi sana kuwaelewa
Mimi nimeona kwenye mambo mengi nashabihiana naye sana tabia kwa hiyo namuelewa sana na ningependa kuwapa ujuzi wa kumuelewa Rais ili tumfanye afanye zaidi na nchi yetu isogee
Mungu hakuumba bnadamu wa aina moja dunia nzima. Tuko sawa kwa maana ya kushi na kufa lakini kitabia tunatofautiana sana. Rais Magufuri yuko kwenye kundi la watu wambao ni wachache na ni wagumu sana kuwaelewa. Mara nyingi unaweza kuishia kumchukia na kufikiri ni mkatiri sana. lakini watu hawa huwa ni wapole sana tena wana huruma nyingi
Udhaifu mkubwa wa watu wa namna yetu ni mmoja, kutokana na kupingwa sana sababu ya kutoeleweka vizuri huwa wanakata tamaa. Lakini huwa nasema ni aina ya watu ambao ukiwapa kazi itakwenda ingawa wanaweza kuathiriwa na kukatishwa tamaa.
dawa kubwa ni kuwatia moyo kwa kuona juhudi zao
mfano yapo mambo ambayo Rais bila hiana anastahili kusifiwa
1. umeme, siku hizi mgao haupo tena, ebu jiulize mgao wa zamani uklikuwa unatoka wapi, twende REA nyumba nyingi sana zimeunganishwa tena kwa gharama ndogo. service charge hazipo tena lakini umeme unaendelea vizuri
2. maji. dar karibu yote inaunganishwa sasa kwa nini asisifiwe kwa kazi nzuri
3. mabarabara kila mahali hadi njia kumi na mbili mbezi to kibaha. kwa nini wengine hawakufanya na huyu kafanikiwa.
4. elimu bure sijaona ikitetereka. mimi nimesoma shule zote za kayumba. naelewa umuhimu wa elimu bure. wengi wamesoma shule nzuri lakini kama sio shule za serikali labda ningekuwa mchoma mkaaa
5.ndege mpya, wapo watu wanasema hakukuwa na uharaka wa kununua cash. mimi nasema Rais kafanya uamuzi mzuri sana maana kununu kwa mkopo unaongeza riba sasa nani anataka kulipa zaidi.
7. umangimeza siku hizi umeisha. ni rahisi sana kumwona mkuu wa mkoa, katibu , mkuu au mku wa wialaya. zamani hawa walikuwa kuwaona ni shidaa.
8 utulivu wa kijamii kwa maana ya usalama. yapo matukio ya siyofurahisha lakini kwa ujumla usalama ni mkubwa sana. jamii yetu inaweza kustawi panapokuwa na utulifu haswaa wa kijamii. kwa hili naona hatuna shida kabisa
9. upande wa afya kila wilaya imepewa pesa za kujenga kituo cha huduma ya afya. hivi tunataka maendelea kwenye vitu vipi haswaa. maendeleo ni ustawi wa jamii na sio watu kuwa na pesa.
nasema ukweli sikumpa kura mheshimiwa ila kwa utendaji wake ananishawishi na ninaimani kama atatatua changamoto mbili kwangu nitampigia hata kampeni
changamoto ambazo rais ninejiona kwake kitabia angezitatua ni swala la watumishi na wastaafu na kukaa meza moja na wapinzani ili taifa liwe moja. pamoja na kutuwekea katiba nzuri ili mambo mema anayofanya yawe milele
nampongeza Rais wetu, anastahili pongezi kwa kazi nzuri tena sana na mweye macho na akili anaona.
nina imani tukimuunga mkono na kuendelea kummwagia pongezi nyingi kwa mema anayofanya tutamfanya atufikishe mbali
Tusisubiri afe ndio tuone wema weka. pia tusiwe miongoni mwa wale ambao historia itawahukumu kwa kupinga mambo mema yanayoletwa na mtu aliyejitolea. tusikatishe uzuri na utendaji wake kwa kushindwa kumpa haki yake nayo ni ndogo tu kumpa pongezi na sifa tele kwa kazi nzuri
viva magufuri viva presizaa na tunaomba pia uangalie watumishi na kuwaleta ndugu zetu wapinzani mezani mnywe chai.
tunaielewa sana kazi yako