Wakuu wa kaya nauliza hivi kwenye lile kadi la vipimo vya macho ikiwa huoni vizuri mistari ya chini jeshini HUINGII??
Na je MACHO ili yake kigezo cha kukataliwa jeshini inatakiwa uwe na shida kwa kiasi gani kulingana na lile chart la vipimo?
Wakuu nauliza hivi mtu akiwa na mwanya haruhusiwi kujiunga na jeshi ??
Au ni namna gani investigation ya MENO inafanywa kabla ya mtu kujiunga na jeshi.
Naskukuru sana mkali....lakin nimfatilia hii inataka mtu awe tayari na matokeo.......ivi hatuwez pata ambayo inaruhusu application mpaka angalau yatoke matokeo ..maana necta dogo anapiga mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.