Recent content by benaboy

  1. benaboy

    Harmonize na Kajala kama si ushamba ni nini?

    Kutupia mapicha mabovu hadharani wengi wanasema ni usanii, lakini si sawa ukiweka maanani kuna watoto wao wanaoona kila kitu.
  2. benaboy

    Macho kama kigezo cha kujiunga na Jeshi

    Wakuu wa kaya nauliza hivi kwenye lile kadi la vipimo vya macho ikiwa huoni vizuri mistari ya chini jeshini HUINGII?? Na je MACHO ili yake kigezo cha kukataliwa jeshini inatakiwa uwe na shida kwa kiasi gani kulingana na lile chart la vipimo?
  3. benaboy

    Simba kutoka kapa mwaka huu

    Kwa mara ya kwanza SIMBA bila aibu itatoka kapa kabisa bila kombe lolote mwaka huu. Ni vema ikijipanga vizuri kwa msimu ujao.
  4. benaboy

    Inawezakana CDF na IGP wakapiga salute kwa mkuu wa Wilaya?

    Kila nikiangalia hii picha nashawishika kuuliza hivi ni nani mkubwa kati ya hawa wawili kivyeo na mamlaka
  5. benaboy

    Je, mwenye mwanya au pengo haruhusiwi kujiunga na jeshi?

    Yaaani hii ndio nia yangu kujua
  6. benaboy

    Je, mwenye mwanya au pengo haruhusiwi kujiunga na jeshi?

    Jamaaani nauliza ukiwa na Mwanya je huwezi jiunga na jeshi? Au ni vigezo gani kuhusiana na MENO vinaweza mkwamisha mtu kujiunga na jeshi la JWTZ
  7. benaboy

    Je, mwenye mwanya au pengo haruhusiwi kujiunga na jeshi?

    Wakuu nauliza hivi mtu akiwa na mwanya haruhusiwi kujiunga na jeshi ?? Au ni namna gani investigation ya MENO inafanywa kabla ya mtu kujiunga na jeshi.
  8. benaboy

    Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

    Huyu jamaa yupo sahihi kwa kiasi fulani.... Kwa uhakika zaidi unaweza google BCG VACCINE SCAR.
  9. benaboy

    Ukabila utawaangamiza UDART (Mwendokasi)

    Sio ilivyorekibishwa...Ilivyorekebishwa
  10. benaboy

    Scholarahip kwenda nje 2018

    Naskukuru sana mkali....lakin nimfatilia hii inataka mtu awe tayari na matokeo.......ivi hatuwez pata ambayo inaruhusu application mpaka angalau yatoke matokeo ..maana necta dogo anapiga mwaka huu
  11. benaboy

    Mlima Kilimanjaro kama ulivyoonekana leo asubuhi

    Watalii wataanza kumiminika sasa
Back
Top Bottom