mshnzy wewe ungeeliza ueleweshe,sio ushamba maumbile ya mwanamke ni tofauti na nyie na kwaataarifa yako mwanamke anavaa tight kuzuia sichubuke mapaja akitembea ndio maana unaona anavaa akivaa skirt na gauni na saa nyingine anavaa vyote ivyo kama nguo ni nyepesi kwake ili kujistiri......siku...
too much of everything is harmful,binafsi sipendi mwanaume mr know it all maana saa nyingine anakuwa na kiherehere,anayeongea sana maana anaboa sometimes,na aliyekuwa na proud maana anajiona ndio bora sana kuliko wengine,kama umempenda huyo dada jaribu kuwork on urself kwa kupunguza vitu...
huna hata aibu mwanaume mzima unatumia jasho la mwanamke,huna lolote wala hauna mapenzi ya kweli na huyo mama hapo ulipo unakimchepuko chako huko kinachokuliwaza,unasubiria mama wa watu afe ili wewe ndio urithi mali zake,na kwa taarifa yako tofauti ni kubwa sana kwa mwanamke wa 18 kuwa na babu...
hahahahaahah kweli kabisaaaa,maana mume gani ambae anachanganya siasa na mapenzi,mwanaume gani anayeshindwa kuelewa kwamba siasa ni mchezo mchafu ambao ni wakupita na penzi la dhati ni la milele,mume gani ambae anamawazo kwamba kuwa mchumba wake lazima muwe na idea sawa ya siasa,mwanaume gani...
hivi hawa form six waliotoka jeshi hawajapangiwa tuu vyuo ili wawe busy na mikakati ya kwenda chuo?..ni nini hichi aisee cha kuja kuomba ushauri hapa?..dogo ebu usituchoshe msaada ni jipange kimaisha songa mbele achana na maswala ya siasa ya hii nchi we angalia maisha yako na mwelekeo wako...
alafu anaonekana hana moyo wa kutoa,anaonekana bahili sana,mwanamke huwatosa wanaume bahili cos wanajua hata wakiolewa nao hawatapata matunzo au hata watakuwa wagumu kutoa hela kwaajili ya mambo ya nyumbani,..
kwanza naomba nikutukane alafu nikuombe msamaha,..wewe ni mshenzy,mburula na mpumbavu..smahani kwa kukutukana wewe ni mke mbaya sana na sio mwaminifu kwa mumeo maana inakuaje unamsaliti mumeo hadi unabeba mimba,kwanza kwanini haukutumia condom,pili kwanini na rafiki wa mumeo hauna adabu wala...
kweli kabisa,huyo mkeo ni anaroho mbaya tena ya kiukatilii nakusikitikia sana kwa kukusea kumuoa maana huyo mwanamke anaweza kuja kukufanyia kitu kibaya na cha kinyama sana maishani kuwa nae makini sana,na wala hana akili maana ameshindwa kutambua kwamba huyo mwanamke alitongozwa kama yeye...
mmmmmmmmmmh vipimo vyote ivyoooo kiruuuuuuuuu!!!!!!!:shocked:,kwa style hiyo utapata mke kweli maana je blood group msipomatch,unamtupilia mbali,je ukikutana na mwenye sickle disease unatupilia mbali pia,kwa sytle hii utampata wa kumuoa kweliii,....
mimba huanza kuonekana kwenye mkojo baada ya siku 7 yaan baada ya week,na maumbile ni tofauti wengine huonyesha dalili za mimba na maswahiba yake ndani ya week hiyohiyo ya kwanza,kama kuumwaumwa,kichechefu,mood swings na vinginevyo,.....
je unahisi mimba ni yako?kama unahuakika mimba ni yako basi msamehee mlee mimba na mtoto maana kuna wanawake wengine wakiwa wajawazito hata ya week mmoja akili zao zinavurugikaga na hata moods zao hubadilika wanakuwa tofauti,na wengine hadi hupata kichaa cha mimba,so msamehee tuu jaribu...
ole wenu nije nisikie mnasema wanawake sio waaminifu,nadhani mnaona chonzo cha wanawake wanaowacheat waume zao sababu ndio kama hizi anazofanya huyu mwanaume,maana inauma sana mtu unamuamini alafu unakuja kufind out he is cheating on you,unadhani mwanamke atafanya nini kuupoza moyo wake kama sio...
Kama shida ni msamaha na amani ya moyo,wewe kama ni mkristo nenda kanisani katubu na toa sadaka ya kutubu,chonde chonde chonde chonde,yaan usithubutuu kumwambia kama unahitaji ndoa na hautaki kuwahaibisha wazazi na ndugu zako, usimwambie lolote yaan hiyo ndio iwe moja ya siri yako itakayoenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.