chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
Kubaliana na matokeo akizaa ataacha kwenda club atalea tu mtoto home
pole sana ndugu yangu ,lakini mimi nakulaumu wewe inakuwaje ukubali kuishi na mchumba wako NDANI KABLA HATA HAMJAFANYA TARATIBU ZOZTE ? swali la pili kwanini uliendelea kushiriki tendo la ndoa bila kinga yeyote ? je umeshaenda kufanya vipimo kujua afya zenu? nakushauri uende hospitali mkapate ushauri nasaha na kufanya vipimo, baadhi ya vipomo ni HIV VDRL,BLOOD GROUP & RHESUS FACTOR, SICKLE DISEASES,HEPATIS B
hapa tatizo siyo blood group kumach kuna watu wenye gruop la damu hasa ni rhesus negative hii baada ya kupima group la damu huwa inaandikwa blood group O Rh negative au group O Rh positive Kwahiyo ukishajua kwamba ni Rh negative utapewa ushauri nini cha kufanya kabla ya kupata mimba na baada ya kupata mimbammmmmmmmmmh vipimo vyote ivyoooo kiruuuuuuuuu!!!!!!!:shocked:,kwa style hiyo utapata mke kweli maana je blood group msipomatch,unamtupilia mbali,je ukikutana na mwenye sickle disease unatupilia mbali pia,kwa sytle hii utampata wa kumuoa kweliii,....
Hahaa...
Unachunguza kama ndizi ni tamu ununue kwa kuendelea kula. Tena umeanza kula zile za juu zenye utamu, umebakisha vichane vichache huko chini, muuzaji anachukua hela yake, eti wewe unauliza anachukuaje hela wakati huna uhakika kama utazipenda...
Hutazipenda wakati ushakula nusu mkungu?...
Ndizi hujaribiwa kwa kubonyeza tu maze. .. sio kumenya na kula. Tena unarudia ya kwanza... ya pili... hadi unamaliza vichane 6. Ebo!
tatizo kubwa kwa nini mtiane kavu ??
ha haha unamchunguza huku unachojolea ndani.. lea na uende ukajitambulishe...
Kaka angu hakuna raha duniani Kama mtoto .Hutokaa ujue mpaka akizaliwa kuona mtoto wako na siwezi kukuelezea mpaka uwe nae .Halafu kwa MWANAMKE ni Jambo la miracles.unabeba mtoto na unawaza mtoto Atakuwa ok au wasiwasi.Maumivu yakuzaa mtoto Usiombe usikie mpaka upate epidural ujue umevumilia mno.Ukiwa na roho ya eti sitaki mimba na ukampiga stress mjamzito Mna stress na mtoto .Nilivyojifungua mwanangu wa kwanza mume wangu alizimia kwa furaha.Take care of a child na mama Yake .mtoto a abadilisha maisha ya mtu .I can't imagine life without my kids .Kabla sijazaa nilikuwa napiga simu kwa my mother everyday from USA huku .Nilivyozaa tu nikijitahidi Mara moja kwa mwezi ndio napiga simu .Wana Jf nawasalim,
Nina mpenzi wangu mpya ambae amehamia kwangu katika mazingira ambayo yanatatanisha hadi sasa na hatimae kubeba mimba bila ridhaa yangu.Huyu binti tumefahamiana miezi si mingi, ni business woman anakwenda Arabuni kufuata mizigo mbalimbali, mimi ni HR business partner.
Alianza mtindo wa kuja kwangu Friday na kuondoka Sunday aliendelea kuongeza siku hadi akahamia kwangu mazima..
Juzi jumamosi kaniambia hazioni siku zake, na wiki yote hii amekua kama mgonjwa.
Tulipoenda hospital tukaambiwa ni mjamzito, tuliporudi home nikamuuliza nani kakutuma ubebe mimba wakati bado tunachunguzana? Je matokeo ya kuchunguzana yakija negative? Utamlaumu nani?
Anadai hajui imekuaje hadi kabeba mimba ina maana mwanamke wa miaka 27 hajui mzunguko wake upoje?
Alipolazimisha kuja kuishi kwangu alidai sababu kuu ni kujuana tabia, then taratibu zingine zifuate.
Sasa mbona anaruka hatua kwa kunitegeshea mimba?Halafu anadai niende kujitambulidha kwao, kwa hiyo ni mbinu au?
Seriously mimi bado nahitaji kuendelea kumchunguza kuna vitu bado navifuatilia kumhusu yeye.
Mfano hizo safari za Arabuni na Hong Kong bado sijazielewa kwa kina naendelea kuzichunguza, sasa kwa hali hii mtu unafanyaje? Mawazo yenu please
Tatizo la pill ni hobby zetu kuwa tofauti kwa mfano yeye anapenda sana kwenda kwenye bendi za dansi kama twanga na Fm Academia wakati mimi miziki hiyo naiona ni makelele na tukienda wote huko mimi nakua bored ile mbaya.
Na kila weekend anataka twende, anajua ratiba za mabendi yote makubwa, mm kwa upande wangu napenda kwenda sehemu tulivu zenye mziki laini kwa mbali, hata kama ni bendi iwe ni karaoke na sio makelele ya akina FM academia ambapo huwezi hata kuongea na jirani yako.
Hivi karibuni, tulienda bendi, masikio yangu yaliziba wiki nzima huku nikisikia miluzi kama nimekunywa ile dawa ya zamani ya quinine je, kama tunaendelea kuishi pamoja je hili haliwezi kuwa kikwazo?
Yeye akibadilisha sana ni kwa kina mzee Yusuph ambako hata kwa kunifunga minyororo hujanipeleka, huwa namruhusu anaenda na ndugu na rafiki zake.
Your help please
Unaweza kujibu swali unalodhani unaliweza kati ya hayo mawili
Thanx
kama ni kutamu basi kubali na matokeo ya utamu wenyeweKuchojolea ndani ni kutam wee acha tu my dear!!
Wakati unamkojolendani ulidhan hizo mbegu zinaenda wapi, be responsible kwa utamu wako, raha mpate wote, mimba umlalamikie mwenzako, tena watu kama nyie ndo mnapiga mikelele kweli mkifunga goli