Recent content by belie

  1. belie

    Startimes yatoa ufafanuzi kuhusu kuonekana chaneli za nyumbani

    ila jaman watatnzania tumezoea mteremko, kha!! kampuni gani ikupe king'amuzi bei rahisi hvyo? bado tena muone bure? m ndo mana nahisi wakatofautisha.kama unataka kuona channel bure, nunua kwa bei kubwa
  2. belie

    Startimes yatoa ufafanuzi kuhusu kuonekana chaneli za nyumbani

    sasa we nawe hata aibu huoni, unanunua 22000 bado unasema uone channel bure, dstv au azam sijui unanunua laki na ushee, bado unalipia local channel, :cool:
  3. belie

    Startimes yatoa ufafanuzi kuhusu kuonekana chaneli za nyumbani

    Julai 14, 2016 UFAFANUZI KUHUSIANA NA HUDUMA ZA STARTIMES Kampuni ya StarTimes Tanzania kupitia ving’amuzi vyake imejizatiti kuhakikisha watanzania wote wanafikiwa na huduma za matangazo ya dijitali kwa gharama nafuu ambayo kila mtu ataimudu. StarTimes inajivunia kuwa kampuni iliyoleta...
  4. belie

    Umeshajiuliza kwanini unawapenda sana wanawake/wasichana?

    mi nmeshajua.... kwa sababu nampenda
  5. belie

    Vijana wa kizazi hiki

    Tuambie kilichokukuta ndugu! mana kama una dukuduku hivi....
  6. belie

    Mke wangu anagombea ubunge, sina amani

    Na wewe gombea udiwani....:glasses-nerdy:
  7. belie

    Binamu yangu anapenda kukaa utupu kila akiniona sijui kwanini?

    Ulienda kusalimia au unakaa moja kwa moja? mana toka December mpaka leo!! mweh?!
  8. belie

    Kina dada na kina mama wenye elimu ndogo huthamini sana nywele kuliko wale wasomi

    na huyu waziri wa michezo, twende kilioni kila siku....... utajuaje kama wanatimiza masharti
  9. belie

    Nafikiria kufanya maamuzi magumu no 2

    Hayo maamuzi magumu mbona sijayaona,?
  10. belie

    Utani sio kwenye mapenzi jamani

    usikute huyo mke ni wew....
  11. belie

    Alivyokuwa ameumbika Hamida

    viroba vya jioni hivi....
  12. belie

    Naombeni msaada wa haraka

    inategemea anafanyiaga wapi hayo mapenzi.....
  13. belie

    Naomba ushauri wadau nina shida kubwa

    hahahahah.... masikini huruma!! afu anaomba ushauri.......
  14. belie

    Naomba ushauri wadau nina shida kubwa

    the secret is safe....:poa
Back
Top Bottom