ila jaman watatnzania tumezoea mteremko, kha!! kampuni gani ikupe king'amuzi bei rahisi hvyo? bado tena muone bure? m ndo mana nahisi wakatofautisha.kama unataka kuona channel bure, nunua kwa bei kubwa
sasa we nawe hata aibu huoni, unanunua 22000 bado unasema uone channel bure, dstv au azam sijui unanunua laki na ushee, bado unalipia local channel, :cool:
Julai 14, 2016
UFAFANUZI KUHUSIANA NA HUDUMA ZA STARTIMES
Kampuni ya StarTimes Tanzania kupitia ving’amuzi vyake imejizatiti kuhakikisha watanzania wote wanafikiwa na huduma za matangazo ya dijitali kwa gharama nafuu ambayo kila mtu ataimudu.
StarTimes inajivunia kuwa kampuni iliyoleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.