Mke wangu anagombea ubunge, sina amani

Mke wangu anagombea ubunge, sina amani

Usiwaze sana wamesha mtema huyo hagombei tena.
 
unatakiwa umpe support, kwanini ufikiri lazima atoe hongo ya ngono ndo afanikiwe....daah majanga haya.
 
I think unachoogopa zaidi ni yeye kuwa more powerful than you

Inaelekea ni full Frank Underwood mode kwenye hiyo ndoa yenu
 
Mshahara unaonekana kwenye slip salary kwa maana ya net pay Tsh 450,000/= bank zinaingia Tsh 12,000,000/= kila mwezi, halafu nje kuna m VX, baada ya kumaliza kipindi chake cha ubunge unavuna 338Milions, aaah men, hebu kua serious bwn, usimaindi vitu vidog vidogo mkuu! Mpe go ahead aende, kwani wenye wake ambao wake zao ni PS wa wakubwa hali ikoje bana?
 
VIpi mkeo akiwa Mbunge na kuwa anatolewa out tena nje ya nchi na vigogo na kutoa penzi. Utavumiliana naye? Maana mke wangu anagombea, nifanyeje?
Na wewe gombea udiwani....:glasses-nerdy:
 
Kama unadhani akiwa Mbunge atagawa urod*a..., je una uhakika gani kuwa hata sasa hagawi?
Je huyo mkeo bado hajitambui kiasi cha kumuona kama ni kahaba vile?!

Pole sana maana inaonyesha mkeo anagombea ubunge dhamira kuu ikiwa ni kugawa uroda kwa vigogo badala ya kuwawakilisha wananchi wa eneo husika nawe ukiwemo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom