Ndugu najua now nikama limemalizika kundi la kwanza means 50 monie na 50 jioni !!
Next wik 100 nyingine then the 3week 100 means wale wapromo mia3 wanakuwa wamemalizika ambayo itakuwa kama tarehe 30 hv kama sjakosea!!!
Wazo langu kwako Mr. Antorio nimoja!! Kuna watu wengi ambao tumekwama...
Napenda kukuuliza kijana Ontario kuhusu Swala la mda wa Training
Means start time for Training !! Kingine Kunavigezo vyovyote vile vinavyotakiwa kama qualification ? Pia wenzangu namimi tulio vimba na vitabu vyote ulivyotaja nakumaliza kuvisoma ila tukawa nachangamoto ya kutokuwa na laptop...
Misuri yatima tupo wengi ila hii kitu inahitaji mentor coz kunamahali unasoma unaelewa ila pengine panahitaji mentor Mr Ontorio I will join to your class ila nahisi Darasa litakuwa zuri endapo utapunguza temper nasomaga post zako I see the way you react to people who seemed to charange you ...
Kufanya kazi ofsi moja sio tatzo au kufanana but huwezi jua huyo Dada anafanya kazi kwanafasi hiyo but other side anayake anafanya namaanisha anaweza akawa hata member wa vipepeo weusi
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Mwaka huu nishiida!! Ila hilo tatzo sio lakumuita Fundi ishu nikwamba wanataka ulipie hata mm hilo tatzo ninalo sana ukiweka salio Chanel unaangalia kama kawa ila likiisha unabakiwa TBC1 tu! Blaza lipia !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.