Sasa Hivi Ualimu Ni Stashahada Miaka Mitatu Vigezo Ni Ufaulu Wa Distinction Hadi Credit Point 1.6! Apply Sasa Kama Vigezo Vipo, Muda Bado. Application Ni Online Nacte
Hongera Sana Mkurugenzi Wangu Wa Miito Na Mlezi Wangu Nilipokuwa Kituo Cha Malezi Bakanja. Huyu Ni Mnyenyekevu Na Mpole Sana, Tulipokuwa Chini Yake Hakuwa Na Makuu. Ni Mtu Wa Ibada Na Maadili Ya Kiroho Kiwango Cha Juu. Karibu Baba Nipo Bariadi!
Sijaona la maana hapa, habari gani isiyo na kichwa wala miguu. Weka vitu wazi tukuelewe, sasa unaleta taarabu wamfumba nani sasa. Kama umelewa kalale, habari gani ya kibinti dume zima. aibu hiyo, ng'ombe wewe!
Narekebisha Kidogo "Hata Uaskofu Si Daraja, Bali Daraja Ni Upadre Porojo Nyingine Zote Ni Huduma Tu" Kardinali, Askofu Wanabaki Kuwa Mapadre Tu, Tofauti Ni Wakfu Waliotiwa Ili Kuongoza Kanisa Mahalia.
Nina Shaka Juu Ya Elimu Na Ufahamu Wako, Muuaji Mkubwa Wewe! Hivi Unaweza Tetea Ujinga Na Upumbavu Waliofanya Ndugu Zako? Eti UKAWA, Kitu Gani Upuuzi Mtupu! Elewa Kuwa Kukimbia Changamoto Au Tatizo Ni Ujinga, Kwa Nini Usikae Ili Kutatua Tatizo Husika? Vibaka Wenzio Walifuata Posho Tu, Sasa...
Nadhani Mleta Mada Hujitambui Kwa Kutuletea Uongo. Bariadi Division One Na Two Zipo Kibao Tu. Nakupa Mfano Wa Shule Ambayo Tunasema Haikufanya Vizuri.IBULYU SEC: DIV I=0, DIV II=3, DIV III=3, DIV IV=12, DIV 0=7Tuambie Hizo Two Na Three Ambazo Hujaziona! Acha Kuvurugwa Kijana
Huo Ni Ushenzi Cdm Hawana Kitu! Chama Gani Cha Namna Hii! Sisi Wananchi Tunashangaa. Hampati Nchi Ng'oo Timewajua Mlivyo, Si Zitto Tu Bali Hamujitambui! Jinga Sana
Chadema Msijidanganye Kwa Kudhani Siasa Ni Mitandaoni Tu! Imarisheni Chama Nje Ya Mitandao, Maana Mitandao Haipigi Kura Hata Siku Moja. Mnang'ang'ana Na Siasa Nyepesi Na Hafifu Ilhali Wapiga Kura Wanazidi Dhoofika Kwa Kukosa Weredi. Mlianza Vizuri Na Kuvuta Hisia Za Wengi Leo Hii Mmebadilika Na...
Mleta Mada Hongera Sana, Maana Umetoa Somo Zuri Kwani Sikio Lenye Kiburi Hukumbwa Na Mauti! Kwa Mwenendo Wa Chadema Hadi Sasa Mabadiliko Chanya Yanahitajika Sana Ili Kiwezefikia Malengo Ya Kushika Dola. La Sivyo Tutaishia Kufukuzana Na Mwishowe Kila Mmoja Hata Hao Wanaodhani Kuwa Ni Miungu Watu...
Dr. Bali Ni Dean Wa Skuli Fulani Pale Udom, Si Mkuu Wa Chuo. Madam Nyang'anyi Ni Tatizo Lililo Wazi Kabisa; Alipandikizwa Tu Pale Hata Maadili Hana Kabisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.