Najikuta naanza KUIKUBALI CHADEMA..!

Najikuta naanza KUIKUBALI CHADEMA..!

Bihagaze, you pls continue to be a pastor hapo ufufuo na uzimakama chadema wangekuwa wanawajibishana, basi Mbowe angekuwa ameishaondoka siku nyingi sana.haujui siasa na Mungu hapendi unafikikama sio mnafiki basi wewe ni mjinga, yaani hajuii kinachoendelea nyuma ya pazia


Hivi wewe ni kwa nn usimueleweshe kilichopo nyuma ya pazia 2? huu ni uwanja wa kujuzana yasiojulikana kwa wengine lengo ni kujenga. MNAFIKI, MJINGA...hayo yanatokea wapi! acha upimbi~~!
 
duh kwel eng. kama ndo mainginia wa hiv m nadhan tuache kusoma, iwapo ww unamtetea mbowe na saccos yake, w chukua chako sepa.. umefanya kazi yako vyema ila mhim mkuu saccos(chadama) imekufa.
Tatizo Ccm Hakuna wenye vichwa .. Wamebeba maboga..
 
Ni chama ambacho mumowke unafanya kazi? CCM?, CUF?, NCCR? au kipi? Kama kun chama ambacho mfumo wke wa utendai mekufa ni CCMsema tu kinalindwa na vyombo vya serikali out of that no CCM!
 
I dont need to convince you to believe anything.

Watu makini nadhani huwa hawakurupuki.. Lazima kujichunguza within Na kukusanya evidance Za Kutosha.. Makosa Kwa wanadamu yapo, si Kwamba mtu katenda kosa moja Leo Na kesho afukuzwe .. No... Nadhani ni Kuangalia kosa Kwa umbali wake Na Muda..sidhani Kama una Hoja Kwa hili labda uniconvice otherwise..
 
Kikaragosi mwenyewe.

Mkuu, lakini CCM ina watu wangapi ambao wamefanya makosa yasohesabika na hakuna anaenyoosha kidole kuwadhibiti?

Kuna orodha kubwa ndani ya CCM ambayo imeitia nchi hii kwenye lindi la matatizo na hakuna anaesema.

Kama anavosema mkuu hapo juu kwamba huu ni mwanzo tu wa kuona chama kama CHADEMA kinathubutu kuwaondoa watu ambao walidhaniwa kuwa ni wa kuaminika kumbe ni mapandikizi tu.

Mheshimiwa Zitto mimi pia niliona mapungufu yake na niliyaweka hapa na moja ya mapungufu makubwa ya huyu jamaa ni kuwa na haraka au "over ambitious" kitendo kinachoweza kuwapa watu faida.

Hayati Nyerere aliwaambia Edward Lowasa na Kikwete wakti ule kwamba walikuwa over ambitious kiasi cha kukodi helikopta kwenda Chamwino kwenye usaili na walidhibitiwa, kuna aliesema chochote, si watu walicheka tu.

Wakuu tuwise vikaragosi jamani!
 
Umejitahidi lakini Hai hold.

Jifunze kuelewa kiongozi, kisheria kosa moja linaweza kuza makosa hata mia moja. Ngoja nikupe mfano: Jangiri amekutwa na meno ya tembo, hilo ni koja moja ambalo ndilo lililomfanya atiwe mikononi, sasa ona mtiririko wa makosa yanayofuata: 2. Amehujumu uchumi 3. Kuingia kwenye hifadhi bila kibali maalumu 4. Kumiliki silaha kinyume na sheria 5. Kuharibu mazingira na bio diversity. 6. Kukiuka misingi ya haki za wanyama za kuishi na haki za viumbe hai wengine 7. Kupoteza pato la taifa litokanalo na utalii 8, 9, 10, nk. Utaona kuwa kunamtiririko wa makosa chungu nzima yaliyotokana na kosa kuu la kukutwa na nyala za serikali.

Turudi kwenye Zitto saga: Kosa kuu la Zitto ni kushiriki kwenye mpango waliouita mkakati wa mabadiriko 2013 yeye pamoja na wenzake. Hapo utakutana na makosa yafuatayo yaliyotokana na kosa la kwanza 2. Kukiuka misingi ya uongozi yeye km naibu katibu mkuu 2. Kwenda kinyume na katiba 3. Kuhujumu chama 4. Kuwagombanisha viongozi wa juu, pia kugombanisha viongozi na wanachama 5. Mkakati wa kuangamiza chama badala ya kukijenga 6. Kupelekea mpasuko ndani ya chama 7,8,9,10 nk. (NB:Sijakwambia kuwa hayo ndiyo makosa ya Zitto, nilikuwa nakuweka sawa kuhusu andiko lako)
 
Bihagaze ona aibu

chadema ina katiba yake, kuwa kama mtu hataridhika na maamuzi ya kamati kuu , anakata rufaa baraza kuu ...yote within chadema

zitto kavuliwa uongozi na kuwa punished kabla hajasikilizwa

ndio jaji anasema "You can not jail him first and hear him later" - justice Utamwa

zitto akakata rufaa baraza kuu la chadema, rufaa ikapigwa teke, kisa asikilizwe kwanza na kikao kilichomhukumu

KATIBA HII WALIIWEKA WENYEWE NA WANAOIBOMOA NI WENYEWE

from no where cjui ndio uko rohoni unasema UNAWAKUBALI CHADEMA na usomi wako wote

acha hizo FOE member, tena ukae kimya umeishaharibu

kesi ile zitto alishinda kabla haijaanza kusikilizwa kwa tuliokuwa na akili zetu

sasa unaikubali kivipi huku iko so clear kuna matatizo ya uongozi
mto mapovu huyu kaingia
 
Najiuliza sana hivi mbona Zito anawatukana sana Watanzania kwa kuwafanya wajinga kwa kushangiliwa name ccm name huku anajiita eti no mpambanaji dhidi ya ccm Hui no usanii mkubwa sana.
 
Nimeuliza Maswali, watu hawaoni viulizo wananijia juu na hata wengine kusema nijifunze.
Sijui kuna kujifunza kuzuri zaidi ya kuuliza maswali????
Ningekuwa nataka kuwa mwalimu(Mwanafunzi wa Kudumu) ningefanya PhD lakini kwa kazi ninayofanya elimu niliyo nayo pamoja na ninayojifunza hapa JF vinatosha.

Mtu akiuliza swali au maswali anadodosa, sasa ukimshauri ajifunze wakati anauliza maswali maana yake humwelewi na wa kujifunza ni wewe. Huu mtindo wa kuuliza Swali halafu unaambiwa ujifunze upo katika nchi yenye mfumo wa elimu MFU. Ukimuuliza mtu swali hakujibu kwani moyoni anachekelea kwamba karibu unashikwa, na ukishikwa tu DISCO na Ndomboroo juuu.:first:
Kuuliza maswali ni sehemu ya kujifunza, hebu acheni kuleta analysis za 2nd year University ongeeni shule iliyokomaa.
 
Hoq Wote Ni Wale Wale Mtaumia Sana. Mtaumia Sana " You Can Fear Even Your Shedol!" Hitlwr
 
Si hilo tu CDM kimekomaa kwan hata wabunge wameonesha kwa vtendo kukaa majimbon na kupga kaz. mf.Meru, Nassar anatisha
 
Back
Top Bottom